Huyo Sugu simply hana adabu...
Basi wadau, nimeshusha mikono kweli Mh. Mr. II a.k.a Sugu hana cha kuomba msamaha, ila kwa ufupi nilivyoona maoni yenu, siasa na wasanii ni kama upepo, ukikuvumia vizuri basi unakuwa mshindi, ukivuma vibaya basi wewe umeshindwa, Sugu yupo juu!!!! Na wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa na moral conscience itakayowafanya waweze kuwa na utambuzi wa alama za nyakati, kwani sasa watanzania tumechoka, tunahitaji ukombozi, na inavyoonekana siasa ndiyo njia pekee ya ukombozi, na kupitia uimbaji kama wa wasanii wanaweza kutoa mchango mkubwa katika huu ukombozi!!!!
Huyo Sugu simply hana adabu...
Huyo Sugu simply hana adabu...