Wakuu mie nina 26yrs natoka na mama flani ambaye ana watoto wakubwa,ila hajawahi kunieleza alipo baba yao cha ajabu siku ya kipaimara mie nlisimama kama baba wa watoto wale yani haoni hata aibu japo kunako 6+6 naenjoy,japo naendeshwa kama mtoto!
Na ukome..........kuna mwenzako hapahapa jamvini kiliponuka tu, alirushiwa laki 8 kwenye simu akaambiwa na afya si kitu tena!!
daah! kuna rafiki yangu wa karibu mno toka utotoni yamemkuta haya haya mkuu
Haya profesa wa ngono ma mijimama, wee endelea tu kuenjoy kitandaniWakuu mie nina 26yrs natoka na mama flani ambaye ana watoto wakubwa,ila hajawahi kunieleza alipo baba yao cha ajabu siku ya kipaimara mie nlisimama kama baba wa watoto wale yani haoni hata aibu japo kunako 6+6 naenjoy,japo naendeshwa kama mtoto!