Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 766
- 725
sugar dady, Sugar dady. Sugar daady........
Unihurumie baba yangu ehee. .....
Umasiki si kilema, ni matatizo ya dunia...
Leo kwangu,kwesho kwako....
Kheri kufa masikini. kuliko kusimangiwa......
Kheri kufa masikini. Kuliko kusimangiwa na walimwengu
Tamaa iliua fisi.
Wale wakongwe kama mimi naomba tukumbushane hiki kibao/wimbo aliimba nani maana nimeutafuta usiku kucha mtandaoni nimeukosa ama kama kuna mtu anao uwezo wa kuupata afanye kuutumia humu kama Audio.
Good Morning .....
Unihurumie baba yangu ehee. .....
Umasiki si kilema, ni matatizo ya dunia...
Leo kwangu,kwesho kwako....
Kheri kufa masikini. kuliko kusimangiwa......
Kheri kufa masikini. Kuliko kusimangiwa na walimwengu
Tamaa iliua fisi.
Wale wakongwe kama mimi naomba tukumbushane hiki kibao/wimbo aliimba nani maana nimeutafuta usiku kucha mtandaoni nimeukosa ama kama kuna mtu anao uwezo wa kuupata afanye kuutumia humu kama Audio.
Good Morning .....