Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
RIWAYA: SUCCESS ON MY MIND[MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU]
MTUNZI: PHABIANI ISAYA THE INTER NATIONAL AUTHOR,
SEHEMU YA KWANZA
SIMU : 0717420309
.
Ni asubuhi yenye kupendeza jua likiwa lime chomoza,kuashiria siku nyingine, ime wadia noel alikuwa amebeba begi lake mgongoni akielekea shuleni.lakini alionekana kuwa ni mtu mwenye mawazo mengi sana nyuma yake alikuwa akija mzee alikuwa akiendesha baiskeli huku akipiga mruzi.Bahati mbaya aka msogelea na kumukwangua na baiskeri, maeneo ya mguuni noeli hakuongea chochote alikaa kimya ‘’kijana samahani’’ alisema yule mzee huku akishuka kutoka kwenye baiskeri. ‘’bila samahani mzee’’ alisema noeli hukuakitembea kwaku chechemea.yule mzee alipo mwangalia usoni noeli aligundua ana msongo mkubwa sana wa mawazo.’’lakini mbona una mawazo mno?’’ aliuliza Yule mzee lakini noeli akawa mzito kuongea. naakamjibu ‘’hamna mzee’’ aliongea kwakutabasamu kijana noeli ‘’punguza mawazo, mawazo ya nini wewe ungali kijana mdogo’’ alisema Yule mzee mwenye baiskeli kisha aliondoka na kumuacha noeli akiwa amesimama njiani, noeli alikuwa mwanafunzi kidato cha sita katika shule ya sekondari ya nsumba, noeli alikuwa ametokea familia ya watu wa maisha ya chini kabisa.Mama yake alikuwa muuza pombe za kienyeji.Baba yake alikuwa amewatelekeza tangia walipokuwa wadogo, ‘’maisha haya najuwa iposiku nita yaacha’’ aliwaza akilini mwake kisha akaondoka kwenda darasani noeli alikuwa na ndoto kubwa sana, katika mpangilio wa maisha yake alikuwa akiwaza siku moja kuwa mwandishi mzuri wa vitabu. Lakini pia alipenda kuwa mwanamuziki, ‘’noeli?’’ alimuita msichana mmoja ambae aliye kuwa akisoma nae, aligeuka na kumuitikia kwa upole ‘’namm’’ hukuakiwa bado angali amegeuka, Yule binti nae alikuwa kavaanguo nzuri. Madaftari yake alikuwa kayaweka katika mafaili. Nakuya shikilia mkononi,’’duuuh! leo tumechelewa’’ alisema Yule binti.
‘’sikuzote hazilingani’’ alisema noeli kwa utaratibu hukuwakitembea mwendo sanjari na ule wa Yule binti, ambae waliyekuwa wakisoma nae.’’kazi ya mwalimu ulifanya?’’ aliuliza Yule binti noeli akamjibu na kumwambia ‘’mimi natamani kumaliza shule’’ alisema noeli hukuakiwa amekata tamaa na maisha ya kuuza pombe ya pale yumbani kwao huku hali ya biashara hiyo ikiwa mbaya sana kutokana na polisi kumsumbua sana mama yake.kila siku polisi walikuwa hawaishi kuja nyumbani kwao na noeli, ‘’sijaifanya kazi yake’’alisema noeli
‘’mwalimu ata gombana sana’’aliongea Yule binti aki mwonea huruma noeli.
‘’ila baadae nitafanya’’ alisema noeli uwezo wa kimasomo alikuwa nao mkubwa sana, tatizo ni umasikini uliokuwa umekithiri, noeli kila siku jua linapo zama na kuchomoza alikuwa akiwaza atafanya nini iliaweze kulipa deni ambalo alilokuwa akidawaiwa shuleni,’’dah! Maisha magumu’’ aliongea hukuakiwa anashusha pumzi yake kwanguvu. Noeli karibia kila ngazi ya elimu alikuwa akipitia changamoto nyingi mno,walianza kuingia katika eneo la shule, kwambali walianza kuona walimu wakiwa wamesimama. Pomoja na mwasibu wa shule, wao pomoja na kuwa mbali lakini walikuwa wamesha muona noeli, ‘’hivi huyu kijana amegoma kutowa pesa?’’aliuliza mwalimu mmoja,
‘’sijui naona yuko kimya mno’’ waliendelea kumjadili noeli na kila iliyoitwa leo noeli alikuwa akiitwa ofisini.kusoma kwake hakukuwa kwa raha hata kidogo,aliishi kwa wasiwasi noeli alipokuwa shuleni.’’nitafanyeje?...... nitafanyeje?’’ ndio lilikuwa swari lake kila siku kijana noeli alipokuwa akitembea alipofika sehemu yenye uwazi walimu wake wakamuita, ‘’noeli?’’
‘’nammm mwalimu?’’ aliitikia kwa upole hukuakiwa anageuza shingo yake, alikuta niwale walimu wake ambao kila siku walikuwa waki msumbuwa shuleni.’’aiseee narudi nyumbani’’ ndilo wazo lililomuingia kichwani kijana noeli kwaharaka, pamoja na kupitia mambo yote hayo lakini bado noeli aliamini kuwa ipo siku matatizo yataenda kuisha.’’wewe pesa tunayo kudai umelipa?’’aliulizwa na mwasibu wa shule,
‘’hapana’’ alijibu kijana noeli mwalimu mkuu aliweza kutowa amli ya noeli aweze kufukuzwa, ‘’mwalimu huyu arudi nyumbani’’ aliongea hukuakiwa amelishikilia begi la noeli,noeli anafukuzwa kurudi tena nyumbani kwao.kufukuzwa kwa noeli ilikuwa imesha kuwa kawaida hata mwanafunzi mwenzake ilifikia hatuwa waliona kawaida, noeli akiwa njiani alianza kuwaza ‘’nirudi tena nyumbani?’’ alijiuliza swari hilo kichwani akili ya haraka ikamuingia katika kichwa chake ‘’niende mtaani’’ aliwaza hivyo hatimae aliamuwa kwenda mjini rafikiyake alikuwa darasani akimsubilia sana, ’’leo noeli yuko wapi?’’alijiuliza wenyewe tu kichwani huku akiwa anajinyoosha.Rafiki yake noeli alionekana kutokuwa na raha kabisa mwalimu alikuwepo darasani lakini yeye alikuwa hamsikii kabisa.
Noeli baada ya kufika mjini Alianza kujifikilia tena akilini mwake’’ni fanye nini?’’ mala akili ikamjia aende kuvua nguo za shule kwanza.Nakisha aende kufanya vibarua atakavyokuwa akikutana na vyo mtaani,aliingia katika uchochoro na kubadili nguo zake kwa haraka zaidi.Ili mchukuwa kama dakika tano kuweza kubadili nguo zake,alivaa nguo za nyumbani [full]. Akiwa noeli anatembea na kuangaza huku na kule akakutana na watu wakichimba balabara.Wakati akiwa amesimama na kuwa shaagaa wale wachimba balabara, mala mmoja kati ya wale wachimba balabara akamuita noeli. ‘’dogo vipi?’’ alisogea karibu na noeli kisha akamwambia,’’mbona unashangaa hapa kwanini?’’ noeli alisimama kisha akamjibu ‘’namimi nataka kazi’’ aliongea noeli kwakwakujiamini ‘’wewe utaweza kweli kazi yetu?’’ aliongea huku akimtizama kwa huruma mno kijana noeli.’’naombeni hata niwa sombee…..’’ noeli alionekana ni mwenye shauku yakutaka kufanya kazi na baadae aweze kulipwa ujira wake. ‘’kama utaweza ni fuate’’ walitembea kwakufuatana kama kumbikumbi wakienda noeli ambako alikuwa hapajui.Walipofika sehemu moja hivi walikutana na bwana mmoja akamuuliza Yule mwenyeji wake na noeli ‘’unasemaje?’’ aliuliza Yule bwana, ‘’nimekutana na huyu bwana mdogo’’ Yule bwana alimuangalia sana noeli kisha akamuuliza tena ‘’anashida gani?’’ ingawa hakutaja anashida gani Yule bwana alimuelewa kisha akamwambia’’naomba umsikilize’’alisema Yule mwenyeji wake na noeli, Yule bwana alikubalia kisha mwenyeji wake na noeli aliweza kuondoka na kuwaacha wawili hao.Mazungumzo yalianza kati ya Yule bwana na kijana noeli ‘’bwana mdogo ulikuwa unasemaje?’’ alimuuliza noeli, nakisha noeli alimjibu ‘’mimi natafuta kazi’’alijibu kwakujiamni noeli alikuwa ni kijana ambae anajiamini sana Yule bwana akamwambia’’kibarua chakulipwa kwa siku au?’’ ilikuwa kama ni bahati kiuwanadamu lakini ilikuwa kama mpangilio asilia kutoka kwamungu.’’ndio mimi kibarua chochote’’alisema noeli basi Yule bwana ambae alikuwa ni mkubwa pale aliamuwa kumpeleka aweze kumpa kibaruwa cha kusomba moramu na kuwapelekea mafundi.Kazi ile haikuwa nyepesi hata kidogo ilikuwa nikazi ngumu isivyo kawaida.’’fanya kwaleo nita kulipa 35 elfu’’ alisema Yule bosi wapale kisha akaondoka na kumuacha noeli baada ya kusikia atapewa donge nono kama hilo alijituma sana katika kazi yake.Hukuakiwa na matumaini mengi sana,’’kumbe ngoja niji tume’’ mama yake muda huo alikuwa akiuza pombe kirabuni suala la shule kwa mwanae alikuwa halifuatilii hata kidogo.Noeli alijikita katika kufanya kazi yake juwa lote lilikuwa likimuishia mwilini, jasho lilikuwa likimtoka mwilini kwa wingi.Alijitahidi kubeba mifuko mikubwa ya moramu lakini uwamini wake katika mafanikio ulimfanya kujituma bila kuchoka.HUkuakiamini iposiku atakwenda kuuwacha umasikini.Noeli hakuwai kujiwazia mabaya hata sikumoja kila gumu alilokuwa akipitia aliliona kama changamoto tu.
Mama Noeli alikuwa akifuata maji na huku akiuza pombe alifanya kazi mbili kwa wakati mmoja.Wateja wake wapombe walikuwa ni makuli pamoja na matingo waliokua wakitokea maeneo mbalimbali. ya mji wa mwanza,Mama Noeli alikuwa ni mwanamke ambae mchakalikaji’’mama noeli habari?’’ alimuongelesha mmoja kati ya wateja wake mama noeli akamjibu ‘’salama’’ alikuwa na ukaribu na wateja wake, ‘’niachie ya…….leo’’ waliongea wakiwa wamekutana njiani mama noeli akiwana ndoo ya maji kichwani. kutokana na biashara yake mama noeli alikuwa ni mtu maarufu sana mtaani hakuna ambae aliyekuwa hamjui pesa aliyokuwa akiipata katika bishara yake ilikuwa sawa anagawana na askari.Alikua na siku nyingi sana hajawapelekea pesa polisi kutokana na biashara yake kuwa ngumu sana.Akiwa njiani kurudi nyumbani na skari nao wakawa wameshafika katika kaya yake, tena wakiwa niwenye hasira isiyokuwa na kifani ‘’tuwa ndoo tuondoke’’ walisema askari wakiwa wamemsubilia na mama noeli alikuwa haja tuwa hata ndoo chini.Mama noeli ilibidi aanze kujitetea ‘’biashara ngumu’’ alijitahidi kujitetea lakini hakuna liye msikiliza wala hoja yake waliona kama hainamashiko.
MTUNZI: PHABIANI ISAYA THE INTER NATIONAL AUTHOR,
SEHEMU YA KWANZA
SIMU : 0717420309
.
Ni asubuhi yenye kupendeza jua likiwa lime chomoza,kuashiria siku nyingine, ime wadia noel alikuwa amebeba begi lake mgongoni akielekea shuleni.lakini alionekana kuwa ni mtu mwenye mawazo mengi sana nyuma yake alikuwa akija mzee alikuwa akiendesha baiskeli huku akipiga mruzi.Bahati mbaya aka msogelea na kumukwangua na baiskeri, maeneo ya mguuni noeli hakuongea chochote alikaa kimya ‘’kijana samahani’’ alisema yule mzee huku akishuka kutoka kwenye baiskeri. ‘’bila samahani mzee’’ alisema noeli hukuakitembea kwaku chechemea.yule mzee alipo mwangalia usoni noeli aligundua ana msongo mkubwa sana wa mawazo.’’lakini mbona una mawazo mno?’’ aliuliza Yule mzee lakini noeli akawa mzito kuongea. naakamjibu ‘’hamna mzee’’ aliongea kwakutabasamu kijana noeli ‘’punguza mawazo, mawazo ya nini wewe ungali kijana mdogo’’ alisema Yule mzee mwenye baiskeli kisha aliondoka na kumuacha noeli akiwa amesimama njiani, noeli alikuwa mwanafunzi kidato cha sita katika shule ya sekondari ya nsumba, noeli alikuwa ametokea familia ya watu wa maisha ya chini kabisa.Mama yake alikuwa muuza pombe za kienyeji.Baba yake alikuwa amewatelekeza tangia walipokuwa wadogo, ‘’maisha haya najuwa iposiku nita yaacha’’ aliwaza akilini mwake kisha akaondoka kwenda darasani noeli alikuwa na ndoto kubwa sana, katika mpangilio wa maisha yake alikuwa akiwaza siku moja kuwa mwandishi mzuri wa vitabu. Lakini pia alipenda kuwa mwanamuziki, ‘’noeli?’’ alimuita msichana mmoja ambae aliye kuwa akisoma nae, aligeuka na kumuitikia kwa upole ‘’namm’’ hukuakiwa bado angali amegeuka, Yule binti nae alikuwa kavaanguo nzuri. Madaftari yake alikuwa kayaweka katika mafaili. Nakuya shikilia mkononi,’’duuuh! leo tumechelewa’’ alisema Yule binti.
‘’sikuzote hazilingani’’ alisema noeli kwa utaratibu hukuwakitembea mwendo sanjari na ule wa Yule binti, ambae waliyekuwa wakisoma nae.’’kazi ya mwalimu ulifanya?’’ aliuliza Yule binti noeli akamjibu na kumwambia ‘’mimi natamani kumaliza shule’’ alisema noeli hukuakiwa amekata tamaa na maisha ya kuuza pombe ya pale yumbani kwao huku hali ya biashara hiyo ikiwa mbaya sana kutokana na polisi kumsumbua sana mama yake.kila siku polisi walikuwa hawaishi kuja nyumbani kwao na noeli, ‘’sijaifanya kazi yake’’alisema noeli
‘’mwalimu ata gombana sana’’aliongea Yule binti aki mwonea huruma noeli.
‘’ila baadae nitafanya’’ alisema noeli uwezo wa kimasomo alikuwa nao mkubwa sana, tatizo ni umasikini uliokuwa umekithiri, noeli kila siku jua linapo zama na kuchomoza alikuwa akiwaza atafanya nini iliaweze kulipa deni ambalo alilokuwa akidawaiwa shuleni,’’dah! Maisha magumu’’ aliongea hukuakiwa anashusha pumzi yake kwanguvu. Noeli karibia kila ngazi ya elimu alikuwa akipitia changamoto nyingi mno,walianza kuingia katika eneo la shule, kwambali walianza kuona walimu wakiwa wamesimama. Pomoja na mwasibu wa shule, wao pomoja na kuwa mbali lakini walikuwa wamesha muona noeli, ‘’hivi huyu kijana amegoma kutowa pesa?’’aliuliza mwalimu mmoja,
‘’sijui naona yuko kimya mno’’ waliendelea kumjadili noeli na kila iliyoitwa leo noeli alikuwa akiitwa ofisini.kusoma kwake hakukuwa kwa raha hata kidogo,aliishi kwa wasiwasi noeli alipokuwa shuleni.’’nitafanyeje?...... nitafanyeje?’’ ndio lilikuwa swari lake kila siku kijana noeli alipokuwa akitembea alipofika sehemu yenye uwazi walimu wake wakamuita, ‘’noeli?’’
‘’nammm mwalimu?’’ aliitikia kwa upole hukuakiwa anageuza shingo yake, alikuta niwale walimu wake ambao kila siku walikuwa waki msumbuwa shuleni.’’aiseee narudi nyumbani’’ ndilo wazo lililomuingia kichwani kijana noeli kwaharaka, pamoja na kupitia mambo yote hayo lakini bado noeli aliamini kuwa ipo siku matatizo yataenda kuisha.’’wewe pesa tunayo kudai umelipa?’’aliulizwa na mwasibu wa shule,
‘’hapana’’ alijibu kijana noeli mwalimu mkuu aliweza kutowa amli ya noeli aweze kufukuzwa, ‘’mwalimu huyu arudi nyumbani’’ aliongea hukuakiwa amelishikilia begi la noeli,noeli anafukuzwa kurudi tena nyumbani kwao.kufukuzwa kwa noeli ilikuwa imesha kuwa kawaida hata mwanafunzi mwenzake ilifikia hatuwa waliona kawaida, noeli akiwa njiani alianza kuwaza ‘’nirudi tena nyumbani?’’ alijiuliza swari hilo kichwani akili ya haraka ikamuingia katika kichwa chake ‘’niende mtaani’’ aliwaza hivyo hatimae aliamuwa kwenda mjini rafikiyake alikuwa darasani akimsubilia sana, ’’leo noeli yuko wapi?’’alijiuliza wenyewe tu kichwani huku akiwa anajinyoosha.Rafiki yake noeli alionekana kutokuwa na raha kabisa mwalimu alikuwepo darasani lakini yeye alikuwa hamsikii kabisa.
Noeli baada ya kufika mjini Alianza kujifikilia tena akilini mwake’’ni fanye nini?’’ mala akili ikamjia aende kuvua nguo za shule kwanza.Nakisha aende kufanya vibarua atakavyokuwa akikutana na vyo mtaani,aliingia katika uchochoro na kubadili nguo zake kwa haraka zaidi.Ili mchukuwa kama dakika tano kuweza kubadili nguo zake,alivaa nguo za nyumbani [full]. Akiwa noeli anatembea na kuangaza huku na kule akakutana na watu wakichimba balabara.Wakati akiwa amesimama na kuwa shaagaa wale wachimba balabara, mala mmoja kati ya wale wachimba balabara akamuita noeli. ‘’dogo vipi?’’ alisogea karibu na noeli kisha akamwambia,’’mbona unashangaa hapa kwanini?’’ noeli alisimama kisha akamjibu ‘’namimi nataka kazi’’ aliongea noeli kwakwakujiamini ‘’wewe utaweza kweli kazi yetu?’’ aliongea huku akimtizama kwa huruma mno kijana noeli.’’naombeni hata niwa sombee…..’’ noeli alionekana ni mwenye shauku yakutaka kufanya kazi na baadae aweze kulipwa ujira wake. ‘’kama utaweza ni fuate’’ walitembea kwakufuatana kama kumbikumbi wakienda noeli ambako alikuwa hapajui.Walipofika sehemu moja hivi walikutana na bwana mmoja akamuuliza Yule mwenyeji wake na noeli ‘’unasemaje?’’ aliuliza Yule bwana, ‘’nimekutana na huyu bwana mdogo’’ Yule bwana alimuangalia sana noeli kisha akamuuliza tena ‘’anashida gani?’’ ingawa hakutaja anashida gani Yule bwana alimuelewa kisha akamwambia’’naomba umsikilize’’alisema Yule mwenyeji wake na noeli, Yule bwana alikubalia kisha mwenyeji wake na noeli aliweza kuondoka na kuwaacha wawili hao.Mazungumzo yalianza kati ya Yule bwana na kijana noeli ‘’bwana mdogo ulikuwa unasemaje?’’ alimuuliza noeli, nakisha noeli alimjibu ‘’mimi natafuta kazi’’alijibu kwakujiamni noeli alikuwa ni kijana ambae anajiamini sana Yule bwana akamwambia’’kibarua chakulipwa kwa siku au?’’ ilikuwa kama ni bahati kiuwanadamu lakini ilikuwa kama mpangilio asilia kutoka kwamungu.’’ndio mimi kibarua chochote’’alisema noeli basi Yule bwana ambae alikuwa ni mkubwa pale aliamuwa kumpeleka aweze kumpa kibaruwa cha kusomba moramu na kuwapelekea mafundi.Kazi ile haikuwa nyepesi hata kidogo ilikuwa nikazi ngumu isivyo kawaida.’’fanya kwaleo nita kulipa 35 elfu’’ alisema Yule bosi wapale kisha akaondoka na kumuacha noeli baada ya kusikia atapewa donge nono kama hilo alijituma sana katika kazi yake.Hukuakiwa na matumaini mengi sana,’’kumbe ngoja niji tume’’ mama yake muda huo alikuwa akiuza pombe kirabuni suala la shule kwa mwanae alikuwa halifuatilii hata kidogo.Noeli alijikita katika kufanya kazi yake juwa lote lilikuwa likimuishia mwilini, jasho lilikuwa likimtoka mwilini kwa wingi.Alijitahidi kubeba mifuko mikubwa ya moramu lakini uwamini wake katika mafanikio ulimfanya kujituma bila kuchoka.HUkuakiamini iposiku atakwenda kuuwacha umasikini.Noeli hakuwai kujiwazia mabaya hata sikumoja kila gumu alilokuwa akipitia aliliona kama changamoto tu.
Mama Noeli alikuwa akifuata maji na huku akiuza pombe alifanya kazi mbili kwa wakati mmoja.Wateja wake wapombe walikuwa ni makuli pamoja na matingo waliokua wakitokea maeneo mbalimbali. ya mji wa mwanza,Mama Noeli alikuwa ni mwanamke ambae mchakalikaji’’mama noeli habari?’’ alimuongelesha mmoja kati ya wateja wake mama noeli akamjibu ‘’salama’’ alikuwa na ukaribu na wateja wake, ‘’niachie ya…….leo’’ waliongea wakiwa wamekutana njiani mama noeli akiwana ndoo ya maji kichwani. kutokana na biashara yake mama noeli alikuwa ni mtu maarufu sana mtaani hakuna ambae aliyekuwa hamjui pesa aliyokuwa akiipata katika bishara yake ilikuwa sawa anagawana na askari.Alikua na siku nyingi sana hajawapelekea pesa polisi kutokana na biashara yake kuwa ngumu sana.Akiwa njiani kurudi nyumbani na skari nao wakawa wameshafika katika kaya yake, tena wakiwa niwenye hasira isiyokuwa na kifani ‘’tuwa ndoo tuondoke’’ walisema askari wakiwa wamemsubilia na mama noeli alikuwa haja tuwa hata ndoo chini.Mama noeli ilibidi aanze kujitetea ‘’biashara ngumu’’ alijitahidi kujitetea lakini hakuna liye msikiliza wala hoja yake waliona kama hainamashiko.