Subtitles kwenye movie za Kibongo

Subtitles kwenye movie za Kibongo

sijapata kuona kiingereza kibaya kuliko cha bongo muvi, yaani ni kichekesho mno.
 
yaani mkuu nashkuru Sana kwa kunisaidia kutoa dukuduku langu.yaani wanaboa kichizi.cjui kiingereza wamejifunzia chini ya mwembe?wanatia aibu kiukweli.
 
yaani mkuu nashkuru Sana kwa kunisaidia kutoa dukuduku langu.yaani wanaboa kichizi.cjui kiingereza wamejifunzia chini ya mwembe?wanatia aibu kiukweli.

Kama wamejifunza chini ya mwembe basi wewe umejifunzia kwenye mwembe uliong'olewa likabaki shimo tupu ukaingia humo kujifunza! substitute!!!!!!!!? Ohooo sina mbavu!
 
subsitute.....mmhh kasoro zenye kasoro cc mwana fa
 
Niliposoma kichwa cha uzi nilishaanza kufikiri anamaanisha kwamba huwa kuna waigizaji wa akiba ikitokea kuna mwigizaji ameumia labda alikuwa anaigiza kuanguka, akaanguka kweli na kutegua au kuvunja kiuno au mguu (labda) inabidi substitute aingie kuchukua nafasi yake. Yaani kama kwenye soka vile... Kumbe alimaanisha subtitles?
 
jamani mie huwa sielewi hizi movie za kibongo ni akina nani wale wanaozitafasiri kwa kiingireza. kweli wanaboa mno na kutia aibu

Hahahaaa we mwenyewe Kiingereza chako ni shida.

Substitute ndo nini sasa?
 
Mtoa mada umeuwasha moto sasa!

Wanasema "kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio, toa boriti kwenye jicho lako"
 
offcoz kama mtu huyo huyo ni

1. director
2. lead actor
3. script writter
4. producer
5. Driver
6. Camera man
7. etc

Tarajia tu subtitles kuwa mbovu
 
jamani mie huwa sielewi hizi movie za kibongo ni akina nani wale wanaozitafasiri kwa kiingireza. kweli wanaboa mno na kutia aibu

anaewatafsiria hana tofauti na wewe....sio SUBSTITUTE NI SUBTITLES!
 
7.main character, yeye

8.sound, yeye

9.make up, yeye

10.story, yeye

11.subtitles, yeye

12. Etc

unategemea nini?
 
Back
Top Bottom