Mwangajamii Tanzania
Member
- Oct 24, 2018
- 29
- 40
😂😂😂Kwanini?Hakika mkuu baada ya hapa kituo kinachofata ni kununua gari tu
Zaidi háta ya Mia.Hivi kuna kikomo cha idadi au hata zaidi ya kumi zinaweza fungwa kwenye nyumba moja?
Hizi Unatumia kulingana Na kiwango cha Pesa unachonunua Umeme. Na kiwango chako kikiisha Umeme utazimika kwako tu...Hii ina mechanism gani tofauti na zilizozoeleka?
Baáda ya Meter ya Jumla.Swali je hii inafungwa kabla au baada ya meter ya jumla
Kwaiyo ukifunga hii hamna haja yakuwa nasubmeter zile ndogo na pia hii dukani shingapBaáda ya Meter ya Jumla.
Akikujibu unitagHii kitu imekaaje?!..je ni-tofaut na zile separate mita za kusoma matumiz ya mtu kwa namna gan?!....maelezo ya kutosha tafadhal.......
Hii comment yako imetokana na nini?Pinga pinga Fc watakuja wapinge na hili.Herd thinking ni tatizo kubwa sana Tanzania.Kwa lugha nyepesi kufikiri kama nyumbu kwa kufuata mkumbo bila kutumia akili.
Unatakiwa ufunge ngapi ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi na gharama yake ni kiasi gani?Hizi Unatumia kulingana Na kiwango cha Pesa unachonunua Umeme. Na kiwango chako kikiisha Umeme utazimika kwako tu...
Give it time utaelewa ninachomaanisha.Hii comment yako imetokana na nini?
Hata mimi nimejiuliza, sikupata majibu🙆Hii comment yako imetokana na nini?