Subaru Forester Xt (Sjg - Turbo) 2015 vs Subaru Forester 2015 (Sj5 - Non Turbo)

Subaru Forester Xt (Sjg - Turbo) 2015 vs Subaru Forester 2015 (Sj5 - Non Turbo)

Mr Confidential

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,542
Reaction score
2,474
Wakuu natumaini ni wazima wa afya.

Nina mpango wa kuagiza Subaru Forester XT (SJG) 2014 - 2016. To be specific ni hii ya 2015

Personal details
  • Income : 2.5M + Net per month plus other businesses. Total family members (4)
  • Safari za mkoani ni 5 hadi 6 kwa mwaka, huko kuna rough road.
  • Safari za kawaida ni approximately 3 days a week. 60km a day, go and return

Naomba kujua
1. Gharama ya kufanya normal service, ikiwemo recommended oil na bei zake

2.Dos and Don't za hizi gari.

3. Mafundi wazuri wa subaru kwa hapa Dar

4. Kuna kitu gani mwenye SJ5 (NON TURBO) anakikosa kwenye SJG (TURBO). Yaan kuna ulazima wa kuchukua SJG over SJ5?

4. Nataka kuagiza Singapore maana nimeona zina utofauti kidogo na za japan. Za Singapore max speed ni 260 wakati za japan ni 180.

VALENCIA PureView zeiss RRONDO mwambyetete

images.jpeg


images (1).jpeg


images (2).jpeg
 
Wakuu natumaini ni wazima wa afya.

Nina mpango wa kuagiza Subaru Forester XT (SJG) 2014 - 2016. To be specific ni hii ya 2015

Personal details
  • Income : 2.5M + Net per month plus other businesses. Total family members (4)
  • Safari za mkoani ni 5 hadi 6 kwa mwaka, huko kuna rough road.
  • Safari za kawaida ni approximately 3 days a week. 60km a day, go and return

Naomba kujua
1. Gharama ya kufanya normal service, ikiwemo recommended oil na bei zake

2.Dos and Don't za hizi gari.

3. Mafundi wazuri wa subaru kwa hapa Dar

4. Kuna kitu gani mwenye SJ5 (NON TURBO) anakikosa kwenye SJG (TURBO). Yaan kuna ulazima wa kuchukua SJG over SJ5?

4. Nataka kuagiza Singapore maana nimeona zina utofauti kidogo na za japan. Za Singapore max speed ni 260 wakati za japan ni 180.

VALENCIA PureView zeiss RRONDO mwambyetete
Mimi ninayo Subaru forester XT ina mwaka mmoja sasa naendelea kuitumia na haina shida yeyote kwenye engine zaidi ya kubadilisha wheel bearing na bush Tu.
Kwa upande wa service Subaru zote zinafanana kwenye gharama kwasababu bei za oil na filter,air cleaner na vitu vingine vinalingana .

Subaru SH 5 XT ina horsepower 227
5 speed transmission
Option features za sport na sport sharp( hii sport sharp ina balaa kubwa Sana kwenye speed unaweza kuovertake magari hata manne Kwa wakati mmoja)

Subaru forester XT ya 2013-2016 zina horsepower 250 huku ikiwa na 6 speed transmission hii ni balaa zaidi Huko barabarani kama ni MTU wa safari utafurahia safari zako Sana kutokana na performance yake, ina features nyingi Sana kuanzia muziki, comfort, safety na legroom kubwa kuanzia dereva na abiria pia

Kama utachukua XT zingatia service Tu Kwa wakati pamoja oil original za Castrol oil na Atlantic oil
IMG_20250420_175126_MP.jpg
 
Mimi ninayo Subaru forester XT ina mwaka mmoja sasa naendelea kuitumia na haina shida yeyote kwenye engine zaidi ya kubadilisha wheel bearing na bush Tu.
Kwa upande wa service Subaru zote zinafanana kwenye gharama kwasababu bei za oil na filter,air cleaner na vitu vingine vinalingana .

Subaru SH 5 XT ina horsepower 227
5 speed transmission
Option features za sport na sport sharp( hii sport sharp ina balaa kubwa Sana kwenye speed unaweza kuovertake magari hata manne Kwa wakati mmoja)

Subaru forester XT ya 2013-2016 zina horsepower 250 huku ikiwa na 6 speed transmission hii ni balaa zaidi Huko barabarani kama ni MTU wa safari utafurahia safari zako Sana kutokana na performance yake, ina features nyingi Sana kuanzia muziki, comfort, safety na legroom kubwa kuanzia dereva na abiria pia

Kama utachukua XT zingatia service Tu Kwa wakati pamoja oil original za Castrol oil na Atlantic oil View attachment 3473133
Asante sana mkuu, Kuna kitu kipya nimekipata hapa.

Naomba nsaidie Roughly service budget plus fuel ili inisaidie ku-update kwenye monthly budget

Naomba nisaidie na no 3 na no 4 kama hutojali.
 
Asante sana mkuu, Kuna kitu kipya nimekipata hapa

Naomba nisaidie na no 3 na no 4 kama hutojali.
Subaru yangu ni ya 2009 niliagiza Kupitia SBT Japan ( nimeona unataka kuagiza Kupitia Singapore huku achana nako kabisaa tena ogopa kama ukoma)
Ishu kubwa ya magari ya turbocharger ni umakini wa service hapa nitakupa mwongozo kama ifuatavyo:
1) Tumia oil filter za Bosch
2) badilisha air filter kila mwaka huku ukiwa unasafisha Kwa njia ya presha kila mwezi
3) kila siku angalia kiwango cha coolant isipungue wala isizidi kwenye level yake
4) badilisha coolant kila mwaka
5) kila unawasha gari asubuhi hakikisha unaacha Kwa DK 3-4 Hadi mshale wa rpm ushuke kwenye 1 pia kama umefanya safari iwe fupi au ndefu iache gari Kwa DK 5-7 ili oil ishuke kabisaa ndani ya engine
6) Ili kuepesha wear and tear kwenye crankshaft bearings unahitaji kutumia oil Sahihi

Nakaribisha maswali kama haujaelewa
 
Subaru yangu ni ya 2009 niliagiza Kupitia SBT Japan ( nimeona unataka kuagiza Kupitia Singapore huku achana nako kabisaa tena ogopa kama ukoma)
Ishu kubwa ya magari ya turbocharger ni umakini wa service hapa nitakupa mwongozo kama ifuatavyo:
1) Tumia oil filter za Bosch
2) badilisha air filter kila mwaka huku ukiwa unasafisha Kwa njia ya presha kila mwezi
3) kila siku angalia kiwango cha coolant isipungue wala isizidi kwenye level yake
4) badilisha coolant kila mwaka
5) kila unawasha gari asubuhi hakikisha unaacha Kwa DK 3-4 Hadi mshale wa rpm ushuke kwenye 1 pia kama umefanya safari iwe fupi au ndefu iache gari Kwa DK 5-7 ili oil ishuke kabisaa ndani ya engine
6) Ili kuepesha wear and tear kwenye crankshaft bearings unahitaji kutumia oil Sahihi

Nakaribisha maswali kama haujaelewa
Nashukuru sana mkuu,
La mwisho: Naomba nsaidie Roughly service budget (vitu vya kufanya on monthly basis, ikiwemo Kusafisha air filter), plus fuel (60 km/ day kwa 3 days a week) ili inisaidie ku-update kwenye monthly budget. Si lazima iwe accurate, ni estimate tu mkuu.

#Life is too short to drive boring car ~ Mr Confidential
 
Wakuu natumaini ni wazima wa afya.

Nina mpango wa kuagiza Subaru Forester XT (SJG) 2014 - 2016. To be specific ni hii ya 2015

Personal details
  • Income : 2.5M + Net per month plus other businesses. Total family members (4)
  • Safari za mkoani ni 5 hadi 6 kwa mwaka, huko kuna rough road.
  • Safari za kawaida ni approximately 3 days a week. 60km a day, go and return

Naomba kujua
1. Gharama ya kufanya normal service, ikiwemo recommended oil na bei zake

2.Dos and Don't za hizi gari.

3. Mafundi wazuri wa subaru kwa hapa Dar

4. Kuna kitu gani mwenye SJ5 (NON TURBO) anakikosa kwenye SJG (TURBO). Yaan kuna ulazima wa kuchukua SJG over SJ5?

4. Nataka kuagiza Singapore maana nimeona zina utofauti kidogo na za japan. Za Singapore max speed ni 260 wakati za japan ni 180.

VALENCIA PureView zeiss RRONDO mwambyetete
Vuta ki Passo mkuu. 2.5m kwa mwezi na subaru sjg turbo wapi na wapi. Maaba service tu ni 20m. Usije sema hatujakuonya
 
Nashukuru sana mkuu,
La mwisho: Naomba nsaidie Roughly service budget (vitu vya kufanya on monthly basis, ikiwemo Kusafisha air filter), plus fuel (60 km/ day kwa 3 days a week) ili inisaidie ku-update kwenye monthly budget. Si lazima iwe accurate, ni estimate tu mkuu.

#Life is too short to drive boring car ~ Mr Confidential
Mimi huwa sipigi kabisaa Kwa mwezi natumia Tsh ngapi kwasababu huwa nikiweka mafuta ya Tsh 40,000 jumatatu naongezea tena keahokutwa mafuta ya Tsh 10,000 Kwa safari zangu za kwenda kariakoo na kurudi home kwasababu sina mizunguko
Mafuta ya Tsh 60,000 huwa natumia Kwa siku 4 yaani kwenda mjini na kurudi ila kama kuna foleni Kwa Subaru forester inakula mafuta kwelikweli
Huwa nimiweka mafuta kituo cha total mafuta huwa yanaenda vizuri Sana tena Sana ...
 
Mimi huwa sipigi kabisaa Kwa mwezi natumia Tsh ngapi kwasababu huwa nikiweka mafuta ya Tsh 40,000 jumatatu naongezea tena keahokutwa mafuta ya Tsh 10,000 Kwa safari zangu za kwenda kariakoo na kurudi home kwasababu sina mizunguko
Mafuta ya Tsh 60,000 huwa natumia Kwa siku 4 yaani kwenda mjini na kurudi ila kama kuna foleni Kwa Subaru forester inakula mafuta kwelikweli
Huwa nimiweka mafuta kituo cha total mafuta huwa yanaenda vizuri Sana tena Sana ...
Oi umewahi jaribu na Puma uone. Me naonaga pia Total yanakaa zaidi kuliko Puma sasa sijui umasikini au?
 
Oi umewahi jaribu na Puma uone. Me naonaga pia Total yanakaa zaidi kuliko Puma sasa sijui umasikini au?
Ndugu yangu na njaa zetu hizi zinachangia kwasababu Mimi huwa naenda Sana total Ila wiki mbili zimepita nilenda puma nikaweka mafuta ya Tsh 40,000 nikifanya safari ya kwenda mwabepande na kurudi chamazi na mafuta hayakutoboa nikaona Bora niongeze tena ya Tsh 15,000 ili taa ya mafuta haijawaka( Subaru forester ikiwaka taa ya mafuta unaweza kulia machozi maana itakulazimu uweke mafuta ya Tsh 50 ndiyo taa ya mafuta inazima)
Kwangu naona total ndiyo angalau yanakaa kidogo kwenye tank
 
Vuta ki Passo mkuu. 2.5m kwa mwezi na subaru sjg turbo wapi na wapi. Maaba service tu ni 20m. Usije sema hatujakuonya
Nduguu mbona unawatisha Sana watu? Kumbuka maoni ambayo tunatoa Kwa wengine yanasaidia Sana Kwa wasomaji tofautitofauti.
Kama haina uhakika na unachosema ni Bora ukae kimya Tu.
Mimi Nina Subaru forester naishi nalo na siingizi 2.5m Kwa mwezi ila kutokana na mipango yangu ya biashara naishi nalo kibishi kilasiku na gharama za mafuta hazinisumbui
 
Back
Top Bottom