Unafiki.! Unafiki.! Unafiki mtupu, Pinda anajifanya ana huruma mbele za watu kumbe Loh.! Roho yake inafanana na sura yake.! Hivi wabunge kujimwagia mipesa kiholela eti kwa kisingizio cha kupanda gharama za maisha kama sio matusi, kejeli na dhihaka kwa watanzania ni nini.?
Wengi wa wabunge ni vihiyo wasiojua hata kujenga hoja, kazi kutetea matumbo yenu tu, mkishikwa na minyoo kidogo haoo India, wapiga kura wenu hamuwakumbuki tena, Wabunge mnatutia hasira sana.. HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA SIASA KUWA NI BIASHARA, WAPUUZI WANATAKA KURUDISHA PESA WALIZOHONGA WAKATI WA UCHAGUZI.
Je tuwaache waendelee??