Obuma
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,727
- 5,094
StupidHuyo dogo anaenda jela kimasihara tu kwa sababu ya kutaka kujaribu siasa mfilisi. Na huyo dogo ndio atatolewa kama somo na fundisho kwa watu wa aina yake, ukiruhusu ujinga wa namna hii uendelee kuna siku nchi itaingia machafukoni sababu ya nyumbxxx fulani anatafuta mkato wa umaarufu wa kisiasa.
Kijana Abdul Nondo utabeba mzigo wako mwenyewe, wale waliokuwa wanakusifia na kukupa kichwa kwa ujinga wako ukishaingia ndani ya nondo watakusahau. Ni mategemeo yangu utahudumia kifungo chako vyema na kuja kutoka raia mwema.