Suala la mahusiano: Wanawake wengi tunafeli

Suala la mahusiano: Wanawake wengi tunafeli

MANKA LEE

Member
Joined
Jun 23, 2017
Posts
43
Reaction score
40
Habari za jioni
Swala la mahusiano limekuwa changamoto sana hasa kwa sisi wanawake tunaishia kulalamika wanaume wote ni wachezeagi tatizo liko kwetu tubadilike.

Tuzingatie hili swala kabla hujaanzisha mahusiano mapya lazima ujiulize mahusiano unayotaka kuanzisha ni ya namna gani?yakufikia ndoa au kupotezeana siku.

Tuache kuweka vitu mbele kwa kuangalia pesa na ukaangali utafaidika na nn katika mahusiano unayotaka kuingia.Anza kwanza ndo hayo maswala yaje baadae

Tuache kuweka vigezo nataka mwanaume wangu awe hv na awe na hiki na kile,Umemuumba wewe?awe na kila kitu unachokitaka vitu vingine vinatengnezwa ndani ya mahusiano.Tujitambue aisee

Angalia mapenzi ya kweli pesa inakuja baadae utaenjoy ukishatengeneza mahusiano imara wala utaombaomba utapata kwa mwanaume wako kwa sababh ataona yuko na mtu sahihi na muda sahihi.

NB:Mapenzi ya kweli yapo wanawake tubadilike ili haya majina ya slay queen&wadangaji tusiitwe
 
Tamaa kupenda mambo makubwa kuliko uwezo wetu vinatuponza mno na mambo ya kuiga kushikwa akili, wanawake wengi tuko hivyo

Hiyo iwe hata kwa wanaume, tutambue unapompendea mtu kwa kitu tuseme pesa labda au shape au sura au uzur wake hapo unakua umemtamani hujampenda, upendo wa dhati hauangalii kitu cha kupenda unajikuta unampenda tu mtu kwa jinsi alivyo
 
Hapa nawapa salute watoto wa kichaga. Ukifuatilia anachosema MANKA LEE ni ukweli mtupu na hata ndoa nyingi siku hizi utakuta bibi harusi ni mchaga. Hii ni kwa Dar. Kwao wao wanaangalia zaidi mbele na si sasa.
 
Tamaa mbaya sana. Wanawake wengi wameweka pesa mbele upendo nyuma. Hata ukiangalia migogoro ya ndoa mingi source ni Pesa. Ukiwa na Pesa kumzidi mwanamke atakunyenyekea na kukulamba
Huu ni ukweli wa wadada wengi wa mjini. Ila mwanamke akikuzidi pesa utamfaham vizuri aisee.
 
Mada ķama hizi ndo wanawake hawazipengi unadhani nani akubali kumvumilia mwanaume masikini maisha yenyew mafupi haya unaanza kumwambia nivumilie ipo siku nitapata mambo kama haya yataka moyo kwa wanawake wa com
 
Ni kweli kabisa! Watu wengi wanaingia kwenye mahusiano kwa ajili ya tamaa.
 
Kuna Makati huwa mnajielewa sana hapo ndipo nawakubali lkn mda mwingine sijui mnakuwa na mapepo gani
 
zote somjo...cha msingi ni mwanamke kutambua kuwa yeye ni chombo cha starehe...hivyo basi kazi yake kubwa ni kugeggedwa
 
Back
Top Bottom