Suala la mahusiano: Wanawake wengi tunafeli

Suala la mahusiano: Wanawake wengi tunafeli

huu uzi bana......wahusika wako beach......wanapunga upepo,,,, wala hawana khabari....
 
MANKA LEE una akili sana wewe ningekuwa karibu yako ningekurushia airtime ya sh 10,000 ya mtandao wowote unao utaka. natumai unazungumzia swala hili una umri wa miaka 26 kwenda juu na umeshakuwa tayari ndani ya mahusiano.
 
Wengine hamjawahi kuonana naanza kukuomba hela ya matumizi
 
zote somjo...cha msingi ni mwanamke kutambua kuwa yeye ni chombo cha starehe...hivyo basi kazi yake kubwa ni kugeggedwa
Acha kashfa hope una dada wewe maisha yamebadilika wanaume wenyewe mnagegedwAaa
 
Ni kupe pongezi zangu za dhati MANKA LEE kwakuweza kuleta huu uzi ingawa najua tutaochangia wengi tutakua wanaume
Asnate k29 tunabadilishana mawazo tu ili tupunguze lawama katika mahusiano na kupata familia bora baadae
 
MANKA LEE una akili sana wewe ningekuwa karibu yako ningekurushia airtime ya sh 10,000 ya mtandao wowote unao utaka. natumai unazungumzia swala hili una umri wa miaka 26 kwenda juu na umeshakuwa tayari ndani ya mahusiano.
Asantr Mung niko na 24 im happy niko kwenye gud relationship natengeneza furaha katika mahusiano yangu pesa nimeipa jukumu letu sote kutafuta pamoja na kusaidiana katika nyenjo mbalimbali na pia kutengeneza future
 
Asantr Mung niko na 24 im happy niko kwenye gud relationship natengeneza furaha katika mahusiano yangu pesa nimeipa jukumu letu sote kutafuta pamoja na kusaidiana katika nyenjo mbalimbali na pia kutengeneza future
MANKA LEE hivi wenzio wasichana walio wengi wanaelewa hili unalo lisema hapa
 
Wazee nimewasoma huko juu naona tu mnamwaga sifa kwa Manka...

Manka kuwa makini hawa watu sio wazuri washaskia una 24 basi maudenda yashawatoka wanasifia sifia mwandiko wako tu.
 
Hahahaaa hii nayo ni tabia sugu ila wanaume wanatengeneza sana mazingira ya fedha kwa wanawake ndio maana wengi wanafeliiiiii na kuona wanawake wote ni type moja
Hahaha..wanatumia ule usemi, penye udhia penyeza rupia
 
Back
Top Bottom