YoungPastor
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 275
- 419
Habari ya wakati Muungwana?
Nimeguswa sana na thread kadhaa zikizungumzia kuhusu Ngorongoro na Loliondo.
Matumizi ya neno wamaasai au wamasai au Masai, binafsi naona ni ubaguzi wa kikabila. Ukizingatia wote ni Watanzania sioni haja ya kuitana kikabila, naona WAKAAZI WA NGORONGORO/LOLIONDO ni neno la kiungwana zaidi.
Naomba kuwasilisha?
Nimeguswa sana na thread kadhaa zikizungumzia kuhusu Ngorongoro na Loliondo.
Matumizi ya neno wamaasai au wamasai au Masai, binafsi naona ni ubaguzi wa kikabila. Ukizingatia wote ni Watanzania sioni haja ya kuitana kikabila, naona WAKAAZI WA NGORONGORO/LOLIONDO ni neno la kiungwana zaidi.
Naomba kuwasilisha?