UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,539
- 7,740
Ingefaa tumpekee hizi habari kamanda msaliti kule Belgium ili awaeleze wazungu kuwa serikali ya Magu imeamua kununua korosho na kuwakosesha mapato walanguzi wa hilo zao.Huku ndiko Magu anatupeleka.
Kamati ya Bunge ya Bajeti yahofia makusanyo yote ya serikali kutumika kuhudumia deni la Taifa, yataka kuwe na ukomo wa kukopa - JamiiForums
Na hizi drama za korosho ni za muda tu kama zile za makinikia kwasababu haya mambo yanafanywa kisiasa zaidi huku utalaamu na weledi ukiwekwa kando.
Baada ya hizi kelele za leo, kesho tutakutana hapa kuanza kupima mafinikio (kupeana feedback) na kuna watu humu mtapotea.