Wazo lako zuri sana, tusichotaka wananchi ni kupotosha katiba pendekezwa iliyobeba mawazo ya wananchi kama ile 'ya Wariba'.
Kama kutakuwa na Bunge la Katiba la mipasho kama lile la 2013 lililozaa UKAWA, hatutaki, ni heri ibakie iliyopo hadi hawa ving'ang'a watakapofurushwa kwa nguvu ya umma.
Tuepuke kabisa kukubali kutengenezewa katiba ya kulinda maslahi ya viongozi wa Ccm na kuacha maslahi ya umma mpana.