Suala la Gender

Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Mkuu usipoteze nguvu sana kumuelezea, maana hatakuelewa
 
Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
 
Umetoa justification mzuri Sana short and brief mtu yeyote anaelewa bila kushikiwa fimbo
 
Wewe jamaa ni mwanamke au mwanaume?
Kama ni mwanaume basi naweza kuleta facts na ushahidi kuonesha kwamba unaanza kupotea kijana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we inaonekana umekulia ushuani sana et!? Ebu njoo huku kajampa nani utoona hao wanawake wanaobeba zege. Tafta mfano mwingne ila huo wa zege siku hiz nao wanabeba
 
Huyu ni shoga kabisa hajui wanaume tunavyokula msoto kuisaka pesa halafu anaongea ujinga
Kwani we peke yako ndio unatafuta pesa lekebisha kauli

Pesa kila mtu anatafuta kwa uwezo wake ndio maana wanaume wengi walio wazoesha wanawake zao kuwapa ela wakifa wanawake wao wanateseka vibaya mno

Mfano Kuna jirani yangu mumew alikuwa ana Mali nying akabweteka mume kufumba macho now anaenda sokoni ananunua viazi kwa kilo anaenda kupanga mafungu amka kijana now nikuchangamka
 
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
Mdogo wangu yani naona kabisa hakuja namna tutaelewana, tunalugha mbili tofauti kabisaaa. Wakati wewe unaona mwanaume na mwanamke ni sawa mimi naona binadamu wawili tofauti kabisa.

Wakati wewe unaona majukumu kwa wote ni sawa madhalani unaona sawa mvulana na msichana wote kuosha vyombo na bupika, mimi naona sawa msichana kuosha vyombo ila mvulana kukata fensi au kuchimba shimo la taka au kupaka rangi chumba cha wageni.
 
Kukosa hoja wapi wewe.... ilishaandikwa na inafahamika hivyo mwanaume hawezi kuwa sawa na mwanamke

sasa wewe kama unalazimisha hivyo pole yako
Pole upewe wewe,
Wanaume gani hao unawasemea wanaolelewa na Wanawake???
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we inaonekana umekulia ushuani sana et!? Ebu njoo huku kajampa nani utoona hao wanawake wanaobeba zege. Tafta mfano mwingne ila huo wa zege siku hiz nao wanabeba
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
 
Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Amepanic maskini
, hadi wamuita mwenzio shemale wewe washakuharibu unajitutumua hapa,
Mmelelewa kichokoraa ndio maana mnashindwa hata kua na mawazo ya kujenga
 
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
Ana usomi gani huyo Chokoraa damu,
Msomi sharti awe na uelewa mpana sasa mada rahisi kama hii kashindwa kuielewa anaweza kukaa kwenye midahalo ya kimataifa huyo
 
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
zege hiyo hiyo tena wengine ni mafundi kabisa ukiwakuta site unaweza usijue kama kweli wanaweza.
 
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
Si nilisema wewe ni brainless,
Yaani hujawahi kuona Wanawake wanabeba Zege!!! Yaani hata hapo Kunduchi hujaona Wamama wanavyoponda Kokoto na kuendesha Familia zao,

Huna exposure halafu unaleta kidomo domo utapakuliwa.
 
zege hiyo hiyo tena wengine ni mafundi kabisa ukiwakuta site unaweza usijue kama kweli wanaweza.
Kumuelewesha Chizi utajipa Kazi,
Wakina Junior hao washazoea kutawazwa na Wadada wa kazi
 
Gender Ni internal sense of being a man or womb-man.
Nje njemba ndani shosti.
Nje bebe ndani Msela tu.πŸ˜‚πŸ˜‚
Vyanzo vya ndani vikiyumba hata ufiche vipi matokeo tutayaona tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…