Suala la Gender

Tangu enzi na enzi Jamii ilikuwepo na ndio ilio chagua kuwa mwanaume akawinde wewe mwanamke atunze familia pindi mwanaume anapoenda kulinda ata wanyama Kuna Jamii yao kama vile Simba dume hawz kwenda kuwinda ila Simba jike ndio anaweza kuwinda

Unaweza kututajia ni lini hiyo jamii ilikaa na kuweka huo mgawanyiko wa majukumu?
 
Assume huyu baba angekuwa hajui malez watoto wangekuwaje mama yupo bize na marafiki na pombe Hana muda na family
 
Assume huyu baba angekuwa hajui malez watoto wangekuwaje mama yupo bize na marafiki na pombe Hana muda na family

Baba ndiye chanzo cha yote.
Hakuna Baba asiyejua malezi.

Mwanaume ndiye anamfundisha mwanamke Malezi.
Mwanaume ndiye amepewa uwezo wa kujua kitu kizuri na Kibaha.
Ila Mwanamke ni mpaka aambiwe hiko ni kizuri au kibaya.

Hiyo ni saikolojia Mkuu
 
Nakubaliana na wewe mkuu, kwa mindset ya mtoa mada na mafuriko ya ushangiliwaji na kufuata mkumbo mambo ya gender equality (ambayo pia ndio hoja kuu ya mtoa mada) mivutano katika jamii itashuhudiwa ikishamiri na kuelekea maafa kama alivyokiri mdoa mada.

Imagine wanawake kuingia katika ndoa wakiwa na viburi, jeuri na wajuaji jambo dogo wataweka ligi mitifuano isiyoisha 50/50 ngangari ngangari kwanini mauaji yasishamiri. Mwanaume kiasili kaumbwa kuongoza, ndie mtawala wa familia na anahitaji heshima.

Katika uzi wako mmoja ulisema mwanaume apaswa kulinda heshima yake kwa gharama yoyote, nakubaliana na wewe
 

Atakuambia Wazungu hawapo hivyo kisa hajasikia kwenye vyombo vya habari
 
Baba ndiye chanzo cha yote.
Hakuna Baba asiyejua malezi.

Mwanaume ndiye anamfundisha mwanamke Malezi.
Mwanaume ndiye amepewa uwezo wa kujua kitu kizuri na Kibaha.
Ila Mwanamke ni mpaka aambiwe hiko ni kizuri au kibaya.

Hiyo ni saikolojia Mkuu
Mkuu hapana maisha yanazunguka at we unaweza ukaja ukawa Kama huyu na ukakosa chakufany
 
Mkuu hapana maisha yanazunguka at we unaweza ukaja ukawa Kama huyu na ukakosa chakufany
Mkuu samahani kukuliza swaki personal. Katika malezi yako, ulilelewa na mama bila baba kuwepo niko sahihi kiasi gani kwa jambo hili ?
 
Mwanamke kuwa na kiburi ni tabia yake yaani ni asiri kwani zamani hakukuwa na wanawake wenye kiburi? Shida ni kwamba mwanaume alikuwa amezoea kuwa juu ya mwanamke now hali ni tofaut now wanawake Wanaziongoza familia zao
 
Mkuu samahani kukuliza swaki personal. Katika malezi yako, ulilelewa na mama bila baba kuwepo niko sahihi kiasi gani kwa jambo hili ?
Hapana nimelelewa na wazazi wangu wote na baba yangu ndio alikuwa responsible mkubwa kwangu
 
Hapana nimelelewa na wazazi wangu wote na baba yangu ndio alikuwa responsible mkubwa kwangu
Mtake radhi sana baba yako, nakuhakikishia he aint proud of you, negative he cant be kwa feminine ideology and feminine mentality uko nazo, hata asipokwambia lakini he considers you a lost sheep
 
Debe tupu,
Hujui hata tofauti ya Jinsi na Jinsia, unajikanyaga kanyaga kwenye maelezo yako kama mtu aliyebanwa na haja ndogo.
 
Wewe ndio akili hamna kabisa kwanza hata kizungu alichokiandika hukijui unaleta mabishano ya kishamba, mleta mada ana hoja ila kwakua vilaza ndio mmejaa kwenye huu uzi mtabisha bisha weee hadi lengo la mada lisifikiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…