Suala la Gender

Sio izo tu Ila mm Nina stick kwenye mgawanyo wa kazi mm nakaa na mtoto wa kike na wakiume lakini nime socialize kuwa Kama wakike ataosha vyombo bas wakiume afagie uwanja au afanye kazi yeyote ile

Mtoto wa kiume akishajua hizo kazi muachishe, hizo kazi atafanyiwa na Mke wake, badala umfundishe mtoto wa kiume kutafuta pesa ili aweze siku moja kuihudumia familia yake, unamfundisha na kumsisitiza kazi ambazo hazitamsaidia popote Kama Mwanaume.

Hapo unamuharibu kijana wako pasipo wewe kujua.
Mwanaume lazima asifundishwe kazi za kike ili kumfanya awe muwajibikaji katika Kazi zake na aone umuhimu wa mwanamke.

Sasa Kama kijana atajua Kupika, Kufua, Kuosha vyombo, na kufanya usafi unafikiri ataona umuhimu wa mwanamke hapo?

Mfundishe mtoto wa kiume Kazi za kiume na majukumu ya kiume ambayo yanafahamika
1. Kujilinda na kuilinda jamii yake.
2. Kufanya kazi za uzalishaji
3. Kutunza Pesa
4. Kuongoza na kuitawala familia.
5. Kufanya maamuzi magumu ikiwa ni pamoja na kutoa adhabu Kali au kufukuza watu(ikiwemo mtoto au mke) ambaye ataenda kinyume na sheria zake.

Sio umfundishe mtoto ujinga ujinga
 
Kwaio kwa matukio yanayo endelea mpka sasa wew unaona sahihi Kama vile wanawake kuuliwa na kukatwa mapanga na wanaume kupigwa nankufanyiwa ukatili ila ni hawasemi unaona sahihi?

Acha wauliwe!

Mnafundisha watoto kupingana na Nature mnafikiri hawatauana!
Mwanamke hajafundishwa kumheshimu mwanaume(mume wake) anafanya mambo ya kipuuzi unategemea nini hapo.

Acha wauane ili Magereza waendelee kupata Ajira, na Wauza majeneza wajiingizie kipato
 
Umezungumza vema ya kua kuna clear varitions katika biological makeup kati ya wanaume na wanawake, je utashi wako haukuelekezi ya kwamba viumbe hawa wanekua formed differentlly biological to suit into different roles ?! That is to say they can't and shouldn't be equally ?!
 
Nina jirani yangu ambaye yeye ana mumewe Wana mtoto wa mwaka mmoja mume akienda kazi mke anashika mtot na mke akienda kazi mume Kama hajaenda bas mume atamlisha mtoto atamuogesha yaani kaz zote atazifanya na Kama chakula atapika wale wakubwa wakitoka shule wale chakula ni familia ambayo Hapa mtaani kwetu wat wengi wamevutiwa nayo na life style yao
 

Ndio tunasema huo ni uvivu,
Sasa Kama Mwanaume ni mzalishaji pesa mzuri anashindwaje kutafuta Maids wa kusaidia hapo nyumbani?

Mwanaume anaweza fanya hivyo lakini iwe mara moja moja Sana yaani Kwa nadra,
 
@mwachiluwi ttz ww bado unangangania kitu ambacho usababisha Maafaa kwa kiwango kikubwa kazi zote zigawe sawa kw kila jinsia apa sasa tunazalasha wapigania haki sawa
 
Kwamaaana at Jamii ilipo weka majukumu waliangalia kwa upande wa sex
 
Sio kweli
 
Sio kweli
 
Masahihisho kidogo
Gender=jinsia
Sex=Jinsi
 
Kwamaaana at Jamii ilipo weka majukumu waliangalia kwa upande wa sex
Una maana gani unaposema "Jamili walipoweka majukumu" ?! Hebu taratibu dogo, yani majukumu yaliwekwa na jamii ?! Kwa mfano hapo awali nyakati za kale mwanaume kuwinda na mwanamke kutunza nyumba na watoto, kuliwekwa na jamii ?!

Wanyama pia wana majukumu tofauti kulingana na jinsi njiwa dume hujenga kiota na njiwa jike hutaga na kuatamia mayai, je na wao majukumu haya "walipewa" na jamii ?!

Njiwa, wanyama na wadudu wanamajukumu tofauti madume kwa majike na wao ni sehemu ya jamii ?! Au ni maumbile yao kiasili yalidetermine roles/majukumu yao jofauti ?
 
Ndio tunasema huo ni uvivu,
Sasa Kama Mwanaume ni mzalishaji pesa mzuri anashindwaje kutafuta Maids wa kusaidia hapo nyumbani?

Mwanaume anaweza fanya hivyo lakini iwe mara moja moja Sana yaani Kwa nadra,
No sio uvivu Bali nikatika kisaidiana katika majukumu nilipokeaga kesi mmoja baba alikuwa na kazi yake mzuri ilipokuja ishu ya vyet feki baba akatolewa kwenye system akawa Hana kazi mke akapandishwa cheo akawa meneja wa bank fulani si bas mume akawa anakaa ty nyumbani akawa anawaanda watoto wanaenda shule ila mama hayuko na time na watoto zarau zikazidi ndani baadae akawa anadai talaka ndipo ikaletwa kwangu ikafika hatua watot watakaa wapi na huduma za malezi ya watoto zinatolewaje ikabidi tuwaulize watoto sehemu wanayo taka kwenda kukaa wakasema kwa baba mama akapanic watoto wakatoa reason moja tu kuwa baba Hana tucare differ na mama ikabd hakubali watoto waende kwa baba na matuzo atakuwa anatoa yeye Nini nataka kusema wanaume pia ni walwzi wazuri Sana katika familia zetu Tena. Sna
 
Tangu enzi na enzi Jamii ilikuwepo na ndio ilio chagua kuwa mwanaume akawinde wewe mwanamke atunze familia pindi mwanaume anapoenda kulinda ata wanyama Kuna Jamii yao kama vile Simba dume hawz kwenda kuwinda ila Simba jike ndio anaweza kuwinda
 

Baba sio mlezi, mama ndiye Mlezi.

Huoni hapo tayari familia imeanguka Kwa sababu Baba kaingilia majukumu ya Mama, na Mama anafanya majukumu ya Baba?

Ambacho ungeshauri hapo, ni kumwambia Mzee atafute kazi afanye,
Mwanaume ndiye Mzalishaji.
Mke ni mtunzaji na mratibu wa vilivyochumwa na Mwanaume.

Wasomi sijui Kwa nini elimu ya Wazungu inawaharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…