Suala la Gender

Suala la Gender

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,790
Morning

Gender ni social formed yaani Jamii ndio imeitengeneza gender ivi tunavyo muona mwanaume wa Leo na mwanamke wa leo alivyo ni matokeo ya gender.

Mwanaume au mwanamke kuvaa anavyo vaa ni Jamii iliamua kuwa mwanamke avae sketi na mwanaume avae suruali ni Jamii ndio ime mtengeneza mwanamke na mwanaume.

Gender imekuwa na matokeo mazuri na mabaya mabaya yapo Zaid kwenye malezi yaani malezi ya mtoto wakiume na wakike ni tofauti Jamii iliamua mwanaume awe kichwa Cha familia na mwanamke awe mama wa nyumbani yaani jamiii ilipendelewa zaidi kuona mwanaume anafanikiwa zaidi kitendo kilicho mpa mwanaume kibuli katika familia.

Mwanaume alipewa muda mwing wangi wakupumzika ila mwanamke alikuwa na heka heka za nyumban kufua, kupika , usafi wa nyumbani, mwanaume yy alikuwa anakazi ya kula na kulala kisa anaaminishwa kuwa yeye ni kichwa Cha familia

Matokeo ya malezi haya ndio tunamuona mtoto wakiume ana miaka 22 anakula chombo anaacha mezani hajui at kupika chai ambapo mtoto huyu ikitokea wazaz wake wamefariki awezi kuishi na mtu yoyote kwasababu labda anaenda kwa ndugu ambapo mtoto wakiume nae anafanya kazi Kama kawaida mtt huyu ukimwambia aoshe vyombo ataona una mnyanyasa kwa Sababu yeye ni yatima na haya Mambo yapo katika Jamii yetu na bado wazazi mnayafumbia macho mkihisi ni malezi mazuri.

Kuna utofauti ambao unatutofautisha Kati ya mwanaume na mwanamke kitu kinachopelekea Kuna vitu mwanamke ashindwe kufanya na mwanaume ashindwe kufanya pia.

Nishauri wazazi mulee watoto wenu Kama Brenda ya multiple ambapo mtoto ataweza kuishi popote pale atakama utakuwepo au lah watoto wakike now day miaka 13 hajui at kupika chai et wakisha halikadhalika wakiume hata kujiongeza hawezi kazi kushinda kwenye tv kuangalia mpira mpka jioni.

Nawasilisha be patient.
 
Naona hujaandika kwamba Jamii imewafanya Wanawake ni wenye kipaombele cha kupishwa siti kwenye usafiri wa Umma

Pia hujaeleza kwamba jamii imewafanya wanawake kupewa kinga zaidi ya kulindwa wakati wa vita vinapotokea mfano mzuri tumeuona kwenye vita vya Ukraine
 
Naona hujaandika kwamba Jamii imewafanya Wanawake ni wenye kipaombele cha kupishwa siti kwenye usafiri wa Umma...
Kwasababu mwanamke anachukuliwa kiumbe zaifu lakini.hakuna ukweli juu ya ilo
 
Morning

Gender ni social formed yaani Jamii ndio imeitengeneza gender ivi tunavyo muona mwanaume wa Leo na mwanamke wa leo alivyo ni matokeo ya gender
Bla bla ndefu ila wewe ni feminist, na tena zaidi ni feminist mjinga. Wait a minute, jamii ilimfanya mwanaume kua kichwa sijui nini nini, JAMII NDIO ILIMUUMBA MWANADAMU HATA KUMPANGIA MAJUKUMU?!

Hoja yako kubwa mwanaume na mwanamke wako sawa, hivi wewe una akili kweli ?! Haujui wala kuona duality kwamba kuna kushoto na kuna kulia, kuna usiku na kuna mchana yani unataka kusema usiku uwe sawa na mchana ?! Hauoni umuhimu ma UTOFAUTI WA UUMBAJI ?!

Mwanamke kaumbwa na manyonyo wewe unayo manyonyo, je hauoni ya kwamba kwa kuumbwa tofauti mwanamke ana MAJUKUMU TOFAUTI ?!

Unataka uwe sawa na wanawake, je unaweza kuzaa ?! Unataka wanawake wawe sawa na wanaume je wanamudu kubeba zege, kwenda vitani nk, mwanamke kaumbwa kutombm.wa je nawewe tunaweza kukutomb.a ?

hawa watoto waliolelewa na masingle mothers wamejazwa maujinga sana vichwana kuamini.

Stupid femiminists can't stop to annoy me with their empty headed brains.
 
Bla bla ndefu ila wewe ni feminist, na tena zaidi ni feminist mjinga. Wait a minute, jamii ilimfanya mwanaume kua kichwa sijui nini nini, JAMII NDIO ILIMUUMBA MWANADAMU HATA KUMPANGIA MAJUKUMU?!

Hoja yako kubwa mwanaume na mwanamke wako sawa, hivi wewe una akili kweli ?! Haujui wala kuona duality kwamba kuna kushoto na kuna kulia, kuna usiku na kuna mchana yani unataka kusema usiku uwe sawa na mchana ?! Hauoni umuhimu ma UTOFAUTI WA UUMBAJI ?!

Mwanamke kaumbwa na manyonyo wewe unayo manyonyo, je hauoni ya kwamba kwa kuumbwa tofauti mwanamke ana MAJUKUMU TOFAUTI ?!

Unataka uwe sawa na wanawake, je unaweza kuzaa ?! Unataka wanawake wawe sawa na wanaume je wanamudu kubeba zege, kwenda vitani nk, mwanamke kaumbwa kutombm.wa je nawewe tunaweza kukutomb.a ?

hawa watoto waliolelewa na masingle mothers wamejazwa maujinga sana vichwana kuamini.

Stupid femiminists can't stop to annoy me with their empty headed brains.
We umeongelea upande wa sex ambao ni biological concept kwaio biological ndio inayo mtofautisha mwanamke na mwanaume that why mwanamke ana beba mimba lakini mwanaume hawezi beba mimba kwaio kwa upande wako upo sahihi kwa sex lakini sio gender ukiweza kuelewa kwaza tofauti ya gender na sex unaweza elewa Nini na maanisha soma Tena kwa umakini sex sijaigusia kwasababu nitakuja kuielezea baadae
 
Bla bla ndefu ila wewe ni feminist, na tena zaidi ni feminist mjinga. Wait a minute, jamii ilimfanya mwanaume kua kichwa sijui nini nini, JAMII NDIO ILIMUUMBA MWANADAMU HATA KUMPANGIA MAJUKUMU?!

Hoja yako kubwa mwanaume na mwanamke wako sawa, hivi wewe una akili kweli ?! Haujui wala kuona duality kwamba kuna kushoto na kuna kulia, kuna usiku na kuna mchana yani unataka kusema usiku uwe sawa na mchana ?! Hauoni umuhimu ma UTOFAUTI WA UUMBAJI ?!

Mwanamke kaumbwa na manyonyo wewe unayo manyonyo, je hauoni ya kwamba kwa kuumbwa tofauti mwanamke ana MAJUKUMU TOFAUTI ?!

Unataka uwe sawa na wanawake, je unaweza kuzaa ?! Unataka wanawake wawe sawa na wanaume je wanamudu kubeba zege, kwenda vitani nk, mwanamke kaumbwa kutombm.wa je nawewe tunaweza kukutomb.a ?

hawa watoto waliolelewa na masingle mothers wamejazwa maujinga sana vichwana kuamini.

Stupid femiminists can't stop to annoy me with their empty headed brains.
Unapoangalia upande wa majukumu Jamii ndiyo imepanga majukumu kwa mwanamke na mwanaume that why unaona Jamii nyingine Kama wamakonde wanaume ndi o wanao enda sokoni lakini ukija kwa mpale mwanamke ndio anaenda sokoni mwanaume hawezi kwenda sokoni elewa ilo na ujue kutofautisha
 
Kumekuchaaaaaah, usipohusika ushoga hapa, sidhani, nipo nimekaa pale.
Shida inakuja mtu hawezi kutofautisha Kati ya jinsi na jinsia wakiambiwa social science muhimu kuwa nayo japo kidogo wamakazana na kusoma account na procurement
 
We umeongelea upande wa sex ambao ni biological concept kwaio biological ndio inayo mtofautisha mwanamke na mwanaume that why mwanamke ana beba mimba lakini mwanaume hawezi beba mimba kwaio kwa upande wako upo sahihi kwa sex lakini sio gender ukiweza kuelewa kwaza tofauti ya gender na sex unaweza elewa Nini na maanisha soma Tena kwa umakini sex sijaigusia kwasababu nitakuja kuielezea baadae
Kwa hyo katika sex ndio kuna tofauti kati na mwanaume ila katika gender hakuna tofauti ?! Yani mwanamke anaweza kubeba zege kama mwanaume ?! Kuna mkuu hapo juu amecomment kua wewe ushoga unakunyemelea kua makini dogo.

Mkuu nataka kujua jambo, umelelewa na single mother sio ?! Yani wewe na Ashura hamko tofauti ?! Aiseee Mungu waepushe watoto wangu wa kiume na hii mentality.
 
Unapoangalia upande wa majukumu Jamii ndiyo imepanga majukumu kwa mwanamke na mwanaume that why unaona Jamii nyingine Kama wamakonde wanaume ndi o wanao enda sokoni lakini ukija kwa mpale mwanamke ndio anaenda sokoni mwanaume hawezi kwenda sokoni elewa ilo na ujue kutofautisha

Embu nipe maana ya Dhana "Mwanamke" na "Mwanaume"
Kisha eleziea sifa na daliliza mwanaume kisha mwanamke!

Alafu ndio tutaendelea na mjadala
 
K

Kwa hyo katika sex ndio kuna tofauti kati na mwanaume ila katika gender hakuna tofauti ?! Yani mwanamke anaweza kubeba zege kama mwanaume ?! Kuna mkuu hapo juu amecomment kua wewe ushoga unakunyemelea kua makini dogo.

Mkuu nataka kujua jambo, umelelewa na single mother sio ?! Yani wewe na Ashura hamko tofauti ?! Aiseee Mungu waepushe watoto wangu wa kiume na hii mentality.

Huyu akili yake ni ndogo, anapaswa abustiwe kidogo.
 
Kwa hyo katika sex ndio kuna tofauti kati na mwanaume ila katika gender hakuna tofauti ?! Yani mwanamke anaweza kubeba zege kama mwanaume ?! Kuna mkuu hapo juu amecomment kua wewe ushoga unakunyemelea kua makini dogo.

Mkuu nataka kujua jambo, umelelewa na single mother sio ?! Yani wewe na Ashura hamko tofauti ?! Aiseee Mungu waepushe watoto wangu wa kiume na hii mentality.
Sikia bro nimeongelea kwa upande wa gender jinsi gani ilivyo mtengeneza mwanaume na mwanamke we Leo ulivyo ni kwasababu ya Jamii ulio kulia wewe kwaio Kuna Mambo ambayo Jamii yako ukiyafanya we ni sawa yaani mwanaume Kuna vitu anaweza kuvifanya kutokana na Jamii yake na pia Kuna vitu mwanamke hawezi kuvifanya Kama mwanamke mfano jamiii fulan mwanamke hakutakiwa kuongea ambapo mwanaume anapo ongea na kufanya maamuzi kwaio kitu hiko kilimfanya mwanamke awe obdient kwa mwanaume
 
Mkuu baada ya kuona umecomment nilikua na comment hapo kwamba nikuache na huyu kijana umweke sawa maana naona ananichosha tu, kumbe na wewe umegundua kijana tumeshampoteza.

Msaidieni Elimu aliyopewa inamchanganya,

Yaani yeye kujua hiyo Gender huko shuleni ndio kumeondoa uwezo wake wa kutumia common sense
 
We umeongelea upande wa sex ambao ni biological concept kwaio biological ndio inayo mtofautisha mwanamke na mwanaume that why mwanamke ana beba mimba lakini mwanaume hawezi beba mimba kwaio kwa upande wako upo sahihi kwa sex lakini sio gender ukiweza kuelewa kwaza tofauti ya gender na sex unaweza elewa Nini na maanisha soma Tena kwa umakini sex sijaigusia kwasababu nitakuja kuielezea baadae
Gender ni nini ? Tupe faida.
 
Back
Top Bottom