Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Haya yote yanaibuka kwa sababu anaeleza anachokiamini, na ambacho dunia nzima inakijua juu ya hiki mnachokiita chanjo? Hivi ni kweli ninyi mnataka kuniambia hamjasoma utata uliopo kwenye hizi chanjo za mwendokasi?
Hamjui kwamba kuna watu wanachomwa chanjo kwa sabbu tu hawana choice baada ya kubanwa na maradhi ama sheria lakini si kwamba hawajui madhara na utauta wa yasiyojulikana mbele yao?
Nyie mnataka kuishi dunia gani isiyokuwa na taarifa kama hizi? Kitu gni leo kinawapelekea muanze kuandama uhuru wa Gwajiam wa kutoa mawzo yake, ikiwa hata ninyi mmekuwa na uhuru wa kutoa mawazo yenu bila ya kupewa majina ya taarabu?
Hivi mnaweza kujifnaya wanasayansi na kutaka kuchukua madaraka juu ya afya na nafsi za binadamu ikiwa tu hakuna kitu mnajua kukiunda? Mnawapigia debe waliotengeneza chanjo, bila kuangalia waliotengeneza corona? Nafasi ya watengeneza corona katika utengenezaji wa hiki mnakiita chanjo ni ipi?
Mhahiyari ya kuchukua misimamo yenu, lakini hamna haki ya ku attack others' personal positions in this mattter. Watu wenye ufahamu hawawezi kubeba siasa na kugandisha kwenye masuala ya uhai wa miili na nafsi za binadamu. Wewe umeamua kukkubali, nenda kachomwe hata chanjo kumi. Rasi wa nchi amesema chanjo ni hiyari, wewe nani unaanza ku PERSECUTE wenye msimamo tofauti na mawazo yako? Au ni zile tabia za kiswahili kwamba kama ni kufa tufe wote? Kufa kivyako kama vile ulivyozaliwa kivyako, na wengine
watakufa kivyao kama walivyzaliwa kivyao.
MSITAKE KUWAFANYA WATU WOTE MANYUMBU WAKUFUATE MIKUMBO BILA KUTUMIA AKILI. KAMA WEWE UNAISHI KWA KUFUATA MIKUMBO KILA LIKISEMWA UNASHANGILIAL, ENDELEA NA MAISHA HAYO ULIYOCHAGUA. KAMA WEWE HUTAFUTI MAARIFA UNASUBIRI KILA KITU UFANYIWE HICHO NI KIWANGO CHAKO.
ACHENI KU PERSECUTE WATU WANAPOTUMIA MUDA WAKO KUTOA TAHADHARI NA MAWAZO MBADALA. Kumbukeni ninyi hamkuumba mtu yeyote, na ninyi ni viumbe tena viumbe dhaifu ambavyo kwa bahati yoyote vinaishi katika ardhi yenye idadi kubwa ya watu wasio na maarifa.
LOW MINDSETS DISCUSS PEOPLE, MIDIUM MINDSETS DISCUSS EVENTS BUT HIGH MINDSETS DISCUSS ISSUES
Angalieni sana katika hili ndugu zangu msianze ku dhikisha watu wengine kwa kuwa tu hawaendi nanyi katika njia zenu. Mtatoa hesabu.
Asante sana Criterion japokuwa umepigwa ban ila mawazo yako yatadumu!
Hamjui kwamba kuna watu wanachomwa chanjo kwa sabbu tu hawana choice baada ya kubanwa na maradhi ama sheria lakini si kwamba hawajui madhara na utauta wa yasiyojulikana mbele yao?
Nyie mnataka kuishi dunia gani isiyokuwa na taarifa kama hizi? Kitu gni leo kinawapelekea muanze kuandama uhuru wa Gwajiam wa kutoa mawzo yake, ikiwa hata ninyi mmekuwa na uhuru wa kutoa mawazo yenu bila ya kupewa majina ya taarabu?
Hivi mnaweza kujifnaya wanasayansi na kutaka kuchukua madaraka juu ya afya na nafsi za binadamu ikiwa tu hakuna kitu mnajua kukiunda? Mnawapigia debe waliotengeneza chanjo, bila kuangalia waliotengeneza corona? Nafasi ya watengeneza corona katika utengenezaji wa hiki mnakiita chanjo ni ipi?
Mhahiyari ya kuchukua misimamo yenu, lakini hamna haki ya ku attack others' personal positions in this mattter. Watu wenye ufahamu hawawezi kubeba siasa na kugandisha kwenye masuala ya uhai wa miili na nafsi za binadamu. Wewe umeamua kukkubali, nenda kachomwe hata chanjo kumi. Rasi wa nchi amesema chanjo ni hiyari, wewe nani unaanza ku PERSECUTE wenye msimamo tofauti na mawazo yako? Au ni zile tabia za kiswahili kwamba kama ni kufa tufe wote? Kufa kivyako kama vile ulivyozaliwa kivyako, na wengine
watakufa kivyao kama walivyzaliwa kivyao.
MSITAKE KUWAFANYA WATU WOTE MANYUMBU WAKUFUATE MIKUMBO BILA KUTUMIA AKILI. KAMA WEWE UNAISHI KWA KUFUATA MIKUMBO KILA LIKISEMWA UNASHANGILIAL, ENDELEA NA MAISHA HAYO ULIYOCHAGUA. KAMA WEWE HUTAFUTI MAARIFA UNASUBIRI KILA KITU UFANYIWE HICHO NI KIWANGO CHAKO.
ACHENI KU PERSECUTE WATU WANAPOTUMIA MUDA WAKO KUTOA TAHADHARI NA MAWAZO MBADALA. Kumbukeni ninyi hamkuumba mtu yeyote, na ninyi ni viumbe tena viumbe dhaifu ambavyo kwa bahati yoyote vinaishi katika ardhi yenye idadi kubwa ya watu wasio na maarifa.
LOW MINDSETS DISCUSS PEOPLE, MIDIUM MINDSETS DISCUSS EVENTS BUT HIGH MINDSETS DISCUSS ISSUES
Angalieni sana katika hili ndugu zangu msianze ku dhikisha watu wengine kwa kuwa tu hawaendi nanyi katika njia zenu. Mtatoa hesabu.
Asante sana Criterion japokuwa umepigwa ban ila mawazo yako yatadumu!