Suala hili linaniumiza sana kichwa na kunitesa

Suala hili linaniumiza sana kichwa na kunitesa

Mafweza ze don

Senior Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
148
Reaction score
182
Heshima kwenu wana forum ningeomba ushauri toka kwenu kutokana na nina mpenzi wangu lakini kila mara niki hitaji mazungumzo nae ananiambia yuko bize nikikutana nae mahali popote ananiambia ana haraka nifanye nini jamani???
 
am talking from experience enzi za ujana wangu nlikuwa nafanya hivyo kama mtu simpendi yaani namaslahi nae zaidi najua tukionana atanyanyua ta.ko na kutoa wallet kunipa mbesa nami nasepa.
So jipange hapo changa la macho huyo si mpenzi wako ni wa mwingine
 
Sidhani kama ni mpenzi wako huyo
ni kama bado unamtongoza
pengine yeye akiulizwa mpenzi wako nani,atatajwa mtu mwingine kabisa
 
huyo sio mpenzi wako chukua time zako, asikupotezee muda maisha ni mali sana. usipoteze muda wako kwa kitu mabacho hakieleweki
 
Haya mapenzi jamani,kwanini tunajijali sisi tu na sio wenzi wetu?wewe kumpenda for really hakumlazimishi yeye akupende kumbuka hilo!
 
Chapa mwendo huyo mchumba haku feel kabisa
 
Stuka..!!! Mwanamke anayekupenda hawezi kukufanyia hivyo..!
 
Sepa...Mpenzi gani huyu ambaye hana muda nawe!? Kila wakati anajaribu kukuepuka!? Akili mkichwa Mkuu!!!!

Heshima kwenu wana forum ningeomba ushauri toka kwenu kutokana na nina mpenzi wangu lakini kila mara niki hitaji mazungumzo nae ananiambia yuko bize nikikutana nae mahali popote ananiambia ana haraka nifanye nini jamani???
 
Heshima kwenu wana forum ningeomba ushauri toka kwenu kutokana na nina mpenzi wangu lakini kila mara niki hitaji mazungumzo nae ananiambia yuko bize nikikutana nae mahali popote ananiambia ana haraka nifanye nini jamani???

Hapo bado ujakubaliwa unamuita mpenzi, akishakukubali utamuitaje?? Badilisha format ya utongozaji.. ukishindwa basi nenda kwa mwingine!!
 
huyo c mpenzi wako ni mpenzi wa mtu we ndo kwanza unamlazimisha awe mpenzi wako jiulize upya
 
Hebu fikiria,kabla ya kupata ilikuwaje na baada ya kupata imekuwaje.Sitaki nikukumbushe mbali but naomba unipm ntakwambia kitu.Ahsante kama utafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom