Ndugu zangu nimesikia kile chuo kikuu cha kilimo wanafunzi wameanza kulipia cheti cha degree pamoja na trancript. sana mimi nauliza hii ccm inatupeleka wapi? ada yenyewe hatuwezi kulipa hizo 40% je hivi vyeti si ndio tutamaliza tuwaachie na kazi tusipate ?
Mungu ibariki TZ
Mungu ibariki TZ