siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
aya sasa mkali wetu,,,hebu ona anavyofanya mambo...kitu cha SUA kiko wapi????
suuuuuua nakupeeenda suuua eeeehh suuua
suuuuuua nakupeeenda suuua eeeehh suuua
ukiripoti sua baada ya siku saba nafikiri hizo mbwembwe za kushangilia zitafikia mwisho. UPooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ila kumbe wa2 mwng anasubr sua ehee... Nahc bado kdogo hako ka chuo che2 cha kudisco kataeleweka wadau
Well said mkuu,ukiripoti sua baada ya siku saba nafikiri hizo mbwembwe za kushangilia zitafikia mwisho. UPooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
nimeona tokeo lako si baya sana !! So ukifika unitafute
<<< Ze duduz >>>
uko sharp si mchezo..
Sua the most favourite university in tanzania. "Mombe skul"
sua pa kawaida kama ukienda kusoma lakin ukichanganya mambo mengine umekwisha ...DVC prof. GILLA hachelewi kukunG"oa ila sasa mambp shwari kwani balaza la senate limepitia mapendekezo ya kutowafukuza wanafunzi kwa zile sheria za zamani hvyo sasa hivi ukienda SUA unakuwa na uhakika wa kumaliza.........musiogope kwa msaada zaidi mtifute inbox au PM
nimeona tokeo lako si baya sana !! So ukifika unitafute
<<< Ze duduz >>>
kabla sijaku-PM embu nambie unakula kozi gani pande Hizo !?
<<< Ze duduz >>>