mkuu,ivi sua wana MBA(marketing)?Ntarudi tena kundini kupiga MBA soon
<br />Duh!wakulima na maafisa mifugo hawawezi kujitokeza kwa kuwa wengi wao wapo vijijini na hawana access ya internet,poleni sana wasomi wa sua!!
<br />Huwezi kuijua mkuu ukitaka kufahamu njoo na wewe usome usishangae ni uchumi tu wa kawaida
<br />Ndo sisi mkuu na tupo wachache,karibu Mazimbu karibu Main Campus at the bottom of Uluguru mts
<br />Mbona Arts ipo ila haina tofauti na Science coz course nyingi za hiyo degree wanaopt kutoka hukohuko science, usiogope kama unapumzi karibu miaka 3/4/5 si mingi its just like a week if you get used to it, ha ha ha ha ha ha ha ha
Duh!wakulima na maafisa mifugo hawawezi kujitokeza kwa kuwa wengi wao wapo vijijini na hawana access ya internet,poleni sana wasomi wa sua!!