SUA MMEPANIC NAONA,ETI 3rd ROUND APPLICATION DAAH!

SUA MMEPANIC NAONA,ETI 3rd ROUND APPLICATION DAAH!

GONZZ EPACLEM

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2016
Posts
312
Reaction score
240
SUA siwaelewi kwa kweli mimi, wanatoa tangazo la 3rd round wakati tupo mbele zaidi 4th round?

hata hivyo sielewi mfumo wao upoje, NO ANY SELECTION UPDATES KWENYE ACCOUNTS, AU MIMI TU?

MWENYE INFO ZAIDI MSAADA KWALA SUA, kwani sielewi kabisa utaratibu wao
 
SUA siwaelewi kwa kweli mimi, wanatoa tangazo la 3rd round wakati tupo mbele zaidi 4th round?

hata hivyo sielewi mfumo wao upoje, NO ANY SELECTION UPDATES KWENYE ACCOUNTS, AU MIMI TU?

MWENYE INFO ZAIDI MSAADA KWALA SUA, kwani sielewi kabisa utaratibu wao
Hata mm Hamna update yoyote Afu Niliapply 3round
 
Hapa natafuta contacts zao niwapgie kuwauliza, inakuwaje
 
Nimekwambia kama hujachaguliwa huwezi kuona
Third round ndo wametangaza Jana halafu wewe Unasema majina y'a 3 round yametoka nakuwa sikuelewi
Screenshot_20181014-144229.jpeg
 
watoeupdates kwenye account zetu tujue sasa, kama ku re-reapply tufanye,vinginevyo wanataka kukusanya pesa za watoto maskini tu
 
SUA siwaelewi kwa kweli mimi, wanatoa tangazo la 3rd round wakati tupo mbele zaidi 4th round?

hata hivyo sielewi mfumo wao upoje, NO ANY SELECTION UPDATES KWENYE ACCOUNTS, AU MIMI TU?

MWENYE INFO ZAIDI MSAADA KWALA SUA, kwani sielewi kabisa utaratibu wao
daah hatar sana hii ndo tz
 
Back
Top Bottom