una matatizo yako binafsi. Watu wana test 2 ndan ya sk 1 na presentation kibao na bado wanapga vzuri. Mbona unapanik kiivyo! Komaa kijana. Onesha kuwa hukufaulu kimagumashi. Kaza msuli.
yani dogo unanikera ujue....we unazani ww peke yako ndo umebanwa hivyo...ebu acha ulimbukeni piga buku au acha shule...ctaki tu kupigwa ban mana ningekuporomoshea hapa.
una matatizo yako binafsi. Watu wana test 2 ndan ya sk 1 na presentation kibao na bado wanapga vzuri. Mbona unapanik kiivyo! Komaa kijana. Onesha kuwa hukufaulu kimagumashi. Kaza msuli.
yani dogo unanikera ujue....we unazani ww peke yako ndo umebanwa hivyo...ebu acha ulimbukeni piga buku au acha shule...ctaki tu kupigwa ban mana ningekuporomoshea hapa.
Hivi lugano5 umetumwa na kijiji nini? Naona uko limbukeni na maisha ya shule kama wewe ndio wa kwanza kuingia shule. Ushamba umekuzidi. Tena ID yako ina asili ya mkoa ambao si washamba wa shule. Soma shule bwana mdogo.
Dogo Lugano5, unabahati sana wewe sio katika madarasa yangu.... lazima ningekukamata tu hata upate supu (supp) moja maana kwa kulia upo juu sana! Ila kama shule ni ngumu tafuta unachokiweza zaidi dogo
Hivi lugano5 umetumwa na kijiji nini? Naona uko limbukeni na maisha ya shule kama wewe ndio wa kwanza kuingia shule. Ushamba umekuzidi. Tena ID yako ina asili ya mkoa ambao si washamba wa shule. Soma shule bwana mdogo.