peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,818
- 21,425
SUA kwa sasa wamafanya utafiti wa mapanya kutegua mabomu.
Tuwasubiri kidogo wako Busy
SUA kwa sasa wamafanya utafiti wa mapanya kutegua mabomu.
Hahha, tafiti zingine zinaendelea ase sio hizo tu.SUA kwa sasa wamafanya utafiti wa mapanya kutegua mabomu.
Tuwasubiri kidogo wako Busy
Pesa za tafiti zitoke wapi?wakati pesa nyingi zinatumika kwenye mambo ya siasa?!!halafu wazungu wana kuja na chanjo/dawa anainuka mtz, anasema hao wanataka kutuua tu, watu wametumia mabilioni ya pesa, kufikia hapo!!tz kuna wasomi hapa!!Najiuliza kweli hamuwezi kubuni kutoka maabara zenu kwa kutumia miti shamba yetu kutengeneza dawa kama Butalex? hii dawa sasa hivi haipatikani madukani, kuna formulations zenye mapungufu makubwa. Mnakwana wapi na mmejaza maprofesa na MaDr kibao wenye mabooks na madictionary kibao? Litafakari hili please and this goes to dawa zingine za mifugo......
Tangu SUA waanzishe course za Ualim niliwashangaa sanaHahha, tafiti zingine zinaendelea ase sio hizo tu.
Sawa lakini nchi yako imewapa kiasi gani kwa ajili ya tafiti?SUA is a research institution of higher learning and therefore whatever the case to your question, they are destined to be capable of attempting this!
Kwanini uliwashangaa Mkuu?Tangu SUA waanzishe course za Ualim niliwashangaa sana