nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
mmmmhh!! Haya yana wenyewe kwakweli, namsubiria ze boss aje kudadavua!!
Hahahaahaa!! Hii ya mwisho noumer, naona itakayofuta jamaa atakuwa amelala sakafuni.
Nime copy hii kitu toka kwa Zamaradi
Hebu angalia hizo picha hapo kwa umakini sana halafu uniambie kuna ukweli wowote katika maana zilizotolewa kwenye hizo aina za ulalaji wa mtu na mpenzi wake!??
Niambie WEWE na YEYE mnahusika kwenye ipi zaidi kati ya hizo hapo juu!!?? na ukiangalia aina yenu ya ulalaji inaendana na jinsi mahusiano yenu yalivyo!!???
mi na mama Kayai tunalala vyumba tofauti,mnaoshea rum endeleeni na mjadala.