Hahahaha mecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kabanga kwani wewe unaitwa mnyama?[emoji3] [emoji3]Hivi mwanaadamu sio.mnyama...?
sisi ni mamalia....Mkuu kabanga kwani wewe unaitwa mnyama?[emoji3] [emoji3]
Hayo makundi kayapanga nani!!??Sijaelewa , nini unadhani kimenifanya nijifananishe na mnyama, umasikini au?
Kuna makundi makuu mawili ya viumbe hai, wanyama na mimea, wewe unadhani binadamu tuko kundi gani?