Stukaaa vyakula vya mtaani

Stukaaa vyakula vya mtaani

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,579
Reaction score
3,267
Wakuu Mambo vip!ebanaa Leo nimeona tustuanee na kuchukua tahadhari ya baadhi ya sehemu tunazo kulaa hasa mama Lise huko kwenye miangaiko yetu. Ni hivi unaweza kwenda kwa mamalishe ukaagiza chai yamaziwaa....sanukaa siku hizi wanachanganya na maji ya mchele,maziwaa kidogo plus maji ya mchele tiyari chai ya maziwa mzee. Usanuke mafuta yakula ya mekuwa ghali,kupunguza ukali wa maisha Kuna mafuta ya nguruwee ndo mbadala kwa Sasa kwa wauza chips wengi mjini. Sanuka,zile kachumbari unazokulaa ukazani wanatengeneza na nyanyaa nzuri mzee umefelii zilee nimasharooo wanaenda sokoni kununua manyanya mabovu.....tuwe waangalifu tunapo enda kulaa huko mtaani.na wewe jazia zako
 
Kuna mahala nilienda kula kitimoto. Mimi ni mzee wa Rosti.

Sasa nikaenda pale nikaagiza, nikaenda kusimama pale naangalia ninavyoandaliwa. Sasa jama kashazoea kwa hiyo akajisahau.

Zile nyanya ni mbovu mno. Akakwangulia kwenye sufuria ili kunikaangia. Aisee, nilitamani kutapika.

Sikula na nikasepa zangu. Jamaa alijishtukia.

Sijakula tena rosti mpaka na leo. Na nimeimiss.
 
Sizipatii picha chipsi/viazi vilivyoandaliwa kwa kutumia mafuta ya Kitmoto ....dah apa mewaza lunch
 
Uongo mtupu ni ugali tu ndo wanapikia maji ya kuoshea vyombo, akiwa anapakua chakula kama sahani ina maji maji anafutia khanga yake ambayo ndo hiyo hiyo anafutia jasho, na Mara nyingi jasho huo inadondoka kwenye mchuzi.
 
Wakuu Mambo vip!ebanaa Leo nimeona tustuanee na kuchukua tahadhari ya baadhi ya sehemu tunazo kulaa hasa mama Lise huko kwenye miangaiko yetu. Ni hivi unaweza kwenda kwa mamalishe ukaagiza chai yamaziwaa....sanukaa siku hizi wanachanganya na maji ya mchele,maziwaa kidogo plus maji ya mchele tiyari chai ya maziwa mzee. Usanuke mafuta yakula ya mekuwa ghali,kupunguza ukali wa maisha Kuna mafuta ya nguruwee ndo mbadala kwa Sasa kwa wauza chips wengi mjini. Sanuka,zile kachumbari unazokulaa ukazani wanatengeneza na nyanyaa nzuri mzee umefelii zilee nimasharooo wanaenda sokoni kununua manyanya mabovu.....tuwe waangalifu tunapo enda kulaa huko mtaani.na wewe jazia zako
Point taken
 
Uongo mtupu ni ugali tu ndo wanapikia maji ya kuoshea vyombo, akiwa anapakua chakula kama sahani ina maji maji anafutia khanga yake ambayo ndo hiyo hiyo anafutia jasho, na Mara nyingi jasho huo inadondoka kwenye mchuzi.
Hahahaha..!
Wewe ndiyo umejua kuisema ile kweli walaqhi'...!!
 
Uongo mtupu ni ugali tu ndo wanapikia maji ya kuoshea vyombo, akiwa anapakua chakula kama sahani ina maji maji anafutia khanga yake ambayo ndo hiyo hiyo anafutia jasho, na Mara nyingi jasho huo inadondoka kwenye mchuzi.
 
Uongo mtupu ni ugali tu ndo wanapikia maji ya kuoshea vyombo, akiwa anapakua chakula kama sahani ina maji maji anafutia khanga yake ambayo ndo hiyo hiyo anafutia jasho, na Mara nyingi jasho huo inadondoka kwenye mchuzi.
Uchafu wa Mswahili ndio afya yake... Kama chakula kichafu ingekuwa ndio njia ya kifo.

Aisee! Kwa waafrika angepona Langa tu maana yeye anatoka familia bora the rest tungekufa kitambo tu.
 
Ogopa sana kula kwa mama lishe mwenye mtoto changaa ambae anashindwa nae kijiweni,kuna mmoja nilimuona ametoka kumchambisha mtoto walaaaah hakunawa mikono na sabuni akaja kukata nyamaa
 
Ignorance is a Bliss....

Kama haupati madhara ya kuumwa tumbo au ki-afya yote heri (maji ya mchele badala ya maziwa side effect sio mbaya sana), nyanya zenye ubovu kwa mbali ndio kuongeza immunity....

Tatizo ni hizo nyama, na vyakula tunavyokula vimepigwa madawa na antibiotics za kutosha hapo ni mwendo wa kula sumu tu..., hata hao samaki maziwa na bahari yanachafuliwa sana ni mwendo ule ule tu wa kurishana sumu...

Anyway life is short huenda kabla hizo sumu hazijakumaliza utakuwa ushakufa kwa kitu kingine.
 
Wakuu Mambo vip!ebanaa Leo nimeona tustuanee na kuchukua tahadhari ya baadhi ya sehemu tunazo kulaa hasa mama Lise huko kwenye miangaiko yetu. Ni hivi unaweza kwenda kwa mamalishe ukaagiza chai yamaziwaa....sanukaa siku hizi wanachanganya na maji ya mchele,maziwaa kidogo plus maji ya mchele tiyari chai ya maziwa mzee. Usanuke mafuta yakula ya mekuwa ghali,kupunguza ukali wa maisha Kuna mafuta ya nguruwee ndo mbadala kwa Sasa kwa wauza chips wengi mjini. Sanuka,zile kachumbari unazokulaa ukazani wanatengeneza na nyanyaa nzuri mzee umefelii zilee nimasharooo wanaenda sokoni kununua manyanya mabovu.....tuwe waangalifu tunapo enda kulaa huko mtaani.na wewe jazia zako
Mbona harufu ya maji ya mchele ni rahisi sana ksikia harufu yake, halikadhalika mafuta ya nguruwe pia yana harufu wewe hiyo umepigwa na ukanywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona harufu ya maji ya mchele ni rahisi sana ksikia harufu yake, halikadhalika mafuta ya nguruwe pia yana harufu wewe hiyo umepigwa na ukanywa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maji ya mchele ngoma inawekwa viungo na unavyo sema mafuta ya kitimoto Yana harufu na nirahisi kuditect nikwamba unataka kubisha basi fanya tafiti kwenye vibanda vingi vya chips pia tafuta sehemu wanapo yauza Sana Sanaa wanapo chinjia nguruwee utakuja na jibu
 
Back
Top Bottom