Dah hapo kwenye chai maziwa tumeliwa sana aiseeWakuu Mambo vip!ebanaa Leo nimeona tustuanee na kuchukua tahadhari ya baadhi ya sehemu tunazo kulaa hasa mama Lise huko kwenye miangaiko yetu. Ni hivi unaweza kwenda kwa mamalishe ukaagiza chai yamaziwaa....sanukaa siku hizi wanachanganya na maji ya mchele,maziwaa kidogo plus maji ya mchele tiyari chai ya maziwa mzee. Usanuke mafuta yakula ya mekuwa ghali,kupunguza ukali wa maisha Kuna mafuta ya nguruwee ndo mbadala kwa Sasa kwa wauza chips wengi mjini. Sanuka,zile kachumbari unazokulaa ukazani wanatengeneza na nyanyaa nzuri mzee umefelii zilee nimasharooo wanaenda sokoni kununua manyanya mabovu.....tuwe waangalifu tunapo enda kulaa huko mtaani.na wewe jazia zako
Kwa walee wa kazi wa mwanza wanajua habari ya huyuu mduduu pale Sinai....Ila sijui kwani asilimia 90 Kama sio 95 huyuu mdudu mazigira anayotengenezewa Ni machafuuu na wanaa ndo unakuta wanakwambia kazimoto ya hapoo Ni tamuu balaaaa.....Ni kwaniniKazimoto ni nouma na nusu
Hahahaha Lakini Mkuu ile nyama si inaiva tu aina nenoOgopa sana kula kwa mama lishe mwenye mtoto changaa ambae anashindwa nae kijiweni,kuna mmoja nilimuona ametoka kumchambisha mtoto walaaaah hakunawa mikono na sabuni akaja kukata nyamaa
Inaivyaa alafuu asilimia kubwa mama lishe wananunua nyamaa machinjioni au za mafungu mzee babaa...nyama wanazoiba wachinjajii kule majichioni zinaa fichwaa kwenye gumboots au mifuko ya kotiiHahahaha Lakini Mkuu ile nyama si inaiva tu aina neno
Micasa pia Tabata Magengeni wako poa..Kazimoto ni nouma na nusu
😂 😂 😂Uongo mtupu ni ugali tu ndo wanapikia maji ya kuoshea vyombo, akiwa anapakua chakula kama sahani ina maji maji anafutia khanga yake ambayo ndo hiyo hiyo anafutia jasho, na Mara nyingi jasho huo inadondoka kwenye mchuzi.