Ni uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto
Mwigulu Nchemba ..... huna aibu kabisa ..... kwa maisha haya what is the best practicable manifest
very poor
Ni uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto
Katika kutangaza chama ni muhimu kuweka mabango, vipeperushi,fulana, kofia, kanga na vitu vingine.
so sioni kama ni tatizo hapo!
ni sahihi kabisa kuwa CCM has the best MANIFESTO. Lakini unajua kuwa watu hatupimwi kwa yale tuyasemayo bali kwa yale tuyatendayo? FILIKUNJOMBE, anapendwa ni kwa sababu ya yale aliyoyafanya mjengoni na sio ilani yake ya uchaguzi. Hivyo LATENT ni zaidi ya MANIFESTO, ndiyo nguvu ya CHADEMA, wanaonekana wakitenda, wakiitesa serikali yako iliyojaa weziNi uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto
MODS , hii thread iunganishwe. ipo nyingine kama hii