DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Hi members. Kusoma sheria UDSM ni miaka 4, wakati MZUMBE ni miaka 3. kwanini ipo hivi!!. Au kuna kitu MZUMBE wanakosa ukilinganisha na UDSM!, Tofauti hasa ni nini kwenye Elimu inayopatikana. Maana kinachonishangaza zaidi ni kwamba atakayemaliza MZUMBE miaka mitatu na atakayemaliza UDSM miaka 4 watakuja kuanza wote LAW SCHOOL hapohapo UDSM, sasa mi naona kama kuna kauonevu hapa kwa wale wa UDSM, mwaka mmoja ni mkubwa sana. Inawezekana labda mi kuna kitu sielewi (mi sijasoma sheria). Wanaofahamu hii kitu vizuri hebu wasaidie kutoa utata huu.