Student's unlimited freedom

Student's unlimited freedom

Hata serikali ina magereza kwa ajiri ya watu korofi,sasa mimi nasema wanafunzi wakorofi wapigwe sana zaidi ya pale...hata mh Jakaya Aliwahi kusema mwanafunzi kupata mimba ni kiherehere chake.
 
Hata serikali ina magereza kwa ajiri ya watu korofi,sasa mimi nasema wanafunzi wakorofi wapigwe sana zaidi ya pale...hata mh Jakaya Aliwahi kusema mwanafunzi kupata mimba ni kiherehere chake.
Hata nyumbani tunawachapa sana watoto wetu.
 
Walimu msipanic kwani baba mwenye nyumba hataki ujinga ujinga lazima aje na kauli ambayo walimu mtafurahia tu

Na nukuuu jamani watanzania wazazi mtoto bila fimbo haendi yani usome bure alafu alafu mwalimu akupe azabu unaleta ubabe kisa serikali itakutetea, nasema hapa Waziri unanisikia kuanzia sasa adhabu ya viboko shuleni irudi ili watoto wawe na adabu tunataka inchi yenye nidhamu wewe mzazi kama unaona mwanao Keki utaki achapwe kaaa naye nyumbani

Mzee akamaliza walimu wanapiga makofi
 
STUDENTS UNLIMITED FREEDOM(SUF)
Kweli itasaidia sana,walimu hii inafaa sana.
 
Tangu siasa ilipoingia katika elimu kuna matokeo mabaya sana yanatokea katika elimu chanzo ni wanasiasa
 
Aman itawale!!! Kulea ni mzigo, hata ukiamua kususa kuna mambo mengine hutayavumilia. Kuitwa mlezi sio jina tu.
 
Uko sawa. Walimu watakaogoma ni wale wa whatsapp.
Hii itasaidia Sana walimu sasa watakuwa wanatoa adhabu Kwa kuzingatia utu.
Nafikiri tuangalie mitaala ya vyuo hawa walimu wa field walipotoka. Malezi sio kutumia viboko, na adhabu nyingiiiiiii. Malezi sio kutumia nguvu.
Kwa mfano mwanafunzi mtukutu darasani Inawezekana ni kwa sababu hana kazi aliyopewa.
Nafikiri ifuatiliwe pia chuo kilipokea taarifa gani ya walimu hawa wa field.
Maana tukumbuke tunawaita walimu, lakini nao bado ni wanafunzi wa chuo Cha ualimu. Mapendekezo yangu walimu wasihusishwe na hili. Cha muhimu utazamwe utaratibu Mpya wa vyuo vya ualimu, ikiwezekana viwe na shule zake, au wanafunzi wake wanapokuwa field wawe na walimu wao wanawasimamia.
Kama Inawezekana basi wawe chini ya walimu kamili, wasiruhusiwe kumchapa, wala kutoa adhabu yoyote pasipo ruhusa ya mwalimu maalum atakayekabidhiwa kwao shuleni


unafikiri umeandika cha maana??

umeandika pumba tupu soma tena ulichoandika utajionea aibu.

unajua maana ya neno mtaala??
 
Back
Top Bottom