Broken soul
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 459
- 131
- Thread starter
- #81
Kuna post zako nimeshawahi kuona unawaitia wenzako sijui nani yule, aje kumaliza matatizo yao. Vipi leo humuiti aje kumaliza yako?
Just an idea.
I love your idea!!
Kuna post zako nimeshawahi kuona unawaitia wenzako sijui nani yule, aje kumaliza matatizo yao. Vipi leo humuiti aje kumaliza yako?
Just an idea.
Kama wewe ni mkristo omba tu Mungu atakuondolea hiyo tamaa kumbuka hakuna zawadi nzuri sana utakayo mpa mmeo siku mkioana kama kukuta na hiyo kitu,kemea hiyo hali itaisha, piga mazoezi na kujikeep busy lakini maombi ni kila kitu na kuendelea na msimamo huo wa kumuogopa Mungu juu ya dhambi ya uzinzi atakupa neema.
ushauri mwingine majina huumba hiyo username yako waweza badilisha kuwa na username yenye matumaini,pia achana kusoma magazati yanayozungumzia mapenzi au picha za pon,kuzungumzia mambo ya mapenzi yanachochea sana hisia.
OK, this will not end just spiritually, looks to me like ni more mentally than it is spiritually, unajua kwanini pamoja na mafundisho yoooote bado tunaaanguka? mentality and psychologically kuna shida, anyway upo shule na ukiwa na boyfriend ataishia kukugonga which will increase a desire to keep doing it,
here is what u should do,
"hurt yourself". I 'll be back
Ni kweli sababu mleta uzi hajaweka wazi anahitaji nini, msaada??? Upi??? Au ushauri???
Hivi Broken soul ushauri sio msaada eenh???
ok, kwa umri wako kwanza ninakupa hongera kwa kujitunza na bikra yako hadi sasa....cha muhimu hapo ni kuondoa hiyo hali ya kutaka kufanya ngono kwa upesi namna hiyo kwani unaweza kuangukia pabaya na kupata hata maradhi au mimba ilhali wewe bado ni mwanafunzi....kuwa bize na shule yako kwa wakati huu, haya mambo yapo, utayakuta tu, na Mwenyezi Mungu atakujaalia wa chaguo lako ambaye who knows, akawa mumeo tukaja kula ubwabwa wa harusi inshaallah! kuwa na subira mdogo wangu acha mambo yaende atomatically bila kufosi lolote, Mwenyezi Mungu ni mwema sana na atakufanyia wepesi ktk hili.
so I'm a Christian and my belief is to
not have sex before marriage, but
i'm 22, never had a bf, and having a
strong desire to have sex and it's
getting worse, to the point that i
want to get together with any
random guy and just have sex to get
it over with a feel good. but then i
don't want to compromise my beliefs
so idk what to do!!! idk how to
control these urges because they're
getting really bad. like it sucks...
badly! i need help and some sort of
advice! help me please!!!!!!
There are no such kind of Christians!! Please refer the biblical meaning of Christianity.
hiyo Bikira ya ukweli au kichina?sema ukweli wako!
Mhh hongra kwa kutunza bikira!maana mie na umri ka wako!ila idadi ya wanaume niliodate nao wamejaa YUTONG!hahaha
Mmhhh tusidanganyane unaweza ukawa virgin sawa lkn vidole unajitia na km ni dume punyeto km kawa...dhambi huwa inaonekanaga ukifanya binadamu mwenzio tu......sijui lkn MAYBE
hajasema yuko vign,msimtungie bnt wa watu,kasema hajawah kufanya mapenz,hajasema km n bikra au la.
Kama wewe ni mkristo omba tu Mungu atakuondolea hiyo tamaa kumbuka hakuna zawadi nzuri sana utakayo mpa mmeo siku mkioana kama kukuta na hiyo kitu,kemea hiyo hali itaisha, piga mazoezi na kujikeep busy lakini maombi ni kila kitu na kuendelea na msimamo huo wa kumuogopa Mungu juu ya dhambi ya uzinzi atakupa neema.
ushauri mwingine majina huumba hiyo username yako waweza badilisha kuwa na username yenye matumaini,pia achana kusoma magazati yanayozungumzia mapenzi au picha za pon,kuzungumzia mambo ya mapenzi yanachochea sana hisia.
Sasa km hajawahi kufanya mapenzi means what.??? Si ni virgin.?????? Kwanza huyu ni muongo ukirefer post zake za nyuma sema tu siwezi kuzikopy anaonekana hana lolote uzushi tu
umemgundua?mwambie.