Sikujua shem wangu kumbe mie kwa ukwe ee! Rejao wangu hakukosea atii!fulu kinyulaa...hujajuaga tu!?nakuvutia picha!nikirudi bongo ww ni Migirooooo!umetisha!
ninatoa kawimbo kangu kwa wajili ya kale kachicken-spring kalioko jela!unakajua shem?
BAGAH=january makamba
Erickb52=yusuph makamba
teh teh! Baba na mwana!
Cantalisia=shyrose bhanji hahahaaa!!!
Hahaha hahha haha,
Mkuu JG hujakoesa atii ndie mie kbs lol!
Hahaha hahha,Si unaona ?
Nnavyovijua vilivyo bihaindi ze katen ?
Sasa sijui itakuaje namie kiwanja changu kipo within 60 meters around the beach !
Hahaha hahha,
Usijali kuna kijisehem kule mabwe pande ntakupatia ukajihifadhi maana niko kikazi zaidi sina masihara kbs lol!
Ww huon juzi kati watu wameoigwa chini na mkulu,Duhh! Minister MISIFA CAMP !
mtu chake -----Shibuda hahhhah,
Habari yake kaka yangu lol!
Hahaha hahha haha,....duh..shibuda tena...nasikia Cantalisia...Anne Kilango
Babu Asprin ----- Mwakyembe, klorokwini---- Maji marefu, Bishanga ---- Malechela na Kipipi---- Sofia simba lol!
Cantalisia nashndwa kumention member. plz help!
BAGAH=january makamba
Erickb52=yusuph makamba
teh teh! Baba na mwana!
Cantalisia=shyrose bhanji hahahaaa!!!
Chek pm yako!Cantalisia nashndwa kumention member. plz help!
hahahahahaaa.... Charminggirl bora umevunja ukimya...najua watu wengi wanakoma mida hii...
naona marekebisho yamekubali!mm nikimention sikuoni tena...unapotea ghafla!
Hahahah hahhahah,we humjui yule alietikisa ubongo wa mtu?...!!shem umekuwaje tena?
ungejua.........halafu kidoooooogo upatie.Babu Asprin ----- Mwakyembe, klorokwini---- Maji marefu, Bishanga ---- Malechela na Kipipi---- Sofia simba lol!