Stress free zone

fulu kinyulaa...hujajuaga tu!?nakuvutia picha!nikirudi bongo ww ni Migirooooo!umetisha!

ninatoa kawimbo kangu kwa wajili ya kale kachicken-spring kalioko jela!unakajua shem?
Sikujua shem wangu kumbe mie kwa ukwe ee! Rejao wangu hakukosea atii!

BTW,hako kaliko jela mboa sijakajua mwenzio!!!
 
Last edited by a moderator:
Si unaona ?
Nnavyovijua vilivyo bihaindi ze katen ?
Sasa sijui itakuaje namie kiwanja changu kipo within 60 meters around the beach !
Hahaha hahha,
Usijali kuna kijisehem kule mabwe pande ntakupatia ukajihifadhi maana niko kikazi zaidi sina masihara kbs lol!
 

Attachments

  • January-Makamba.jpg
    January-Makamba.jpg
    21.2 KB · Views: 21
Last edited by a moderator:
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom