Strength of a Man & Beauty of a Woman

Mar'habaa...mi bukheri wa afya kabisa SL. Leo wifi yako anasafisha chumba cha wageni, nasikia utakuje leo kwetu...karibu

Darling naona leo umejitahidi mpaka tumepata mgeni wa kutumia chumba..... (master bedroom leo utaiona chungu utatamani guest room)

Khaaa wifi, hii ndoa ipo salama kweli? Isijekuwa umehama chumbani kwa kaka unalala chumba cha watoto. Mie habari nilizipata kwa aunt ako Husninyo, na hivi najivua gamba sitaki ushahidi.


Hi too lovely wifi.


Naona hapo utamuuliza kakako.... Karibu saana nitakupikia your favourite food....
 
Darling naona leo umejitahidi mpaka tumepata mgeni wa kutumia chumba..... (master bedroom leo utaiona chungu utatamani guest room)

hhahahahaaa (leo nitalala na dada SL si ndio...manake hatuna chumba cha spare lol)
 
Kimbweka kwa ujumbe namkubali saaana....lol

Mie mzima kabisa, siku nyingi hatuja gongana...
Mpango wa kumtafutia PA mke unaenda vipi?

Kweli aise ni muda sana
nafikiri kuna la maana linakuja na tutakuwa pamoja sana
Mhhh PA na zama zake mpya anaruka kama swala hakamatiki
Kila ukitaka kumuweka kwenye angle anaruka mbaya

Kweli dear
Kibweka kwa ujumbe yuko juu sana na naukubali ujumbe wake sana
 
Kweli aise ni muda sana
nafikiri kuna la maana linakuja na tutakuwa pamoja sana
Mhhh PA na zama zake mpya anaruka kama swala hakamatiki
Kila ukitaka kumuweka kwenye angle anaruka mbaya

Kweli dear
Kibweka kwa ujumbe yuko juu sana na naukubali ujumbe wake sana



Tatizo la Kimbweka ni kua hua anarusha post then yeye anasepa....lol
Akifikisha ujumbe anaona kisha maliza kabisa!

PA dawa yake ndogo, inabidi apate mtu atae teka moyo wake haswaa,
that hatajua what hit him....
 
Tatizo la Kimbweka ni kua hua anarusha post then yeye anasepa....lol
Akifikisha ujumbe anaona kisha maliza kabisa!

PA dawa yake ndogo, inabidi apate mtu atae teka moyo wake haswaa,
that hatajua what hit him....

Ni kweli yaani Kibweka huwa hayupo kujibu post au hata kuchangia
yeye anarusha na kusepa anawaacha mnajikaanga wenyewe
Kama ni mbaya au nzuri hilo ni juu yenu
Ila nice one na ni nzuri kujua uko wapi na unasimamia wapi

PA sijui kama anajua hilo na sijui kama anajua kuwa ipo siku atakamatika
Yaani yupo yupo tuu hana uhakika na mambo yake
 
Tatizo la Kimbweka ni kua hua anarusha post then yeye anasepa....lol
Akifikisha ujumbe anaona kisha maliza kabisa!

PA dawa yake ndogo, inabidi apate mtu atae teka moyo wake haswaa,
that hatajua what hit him....

Love u mean hana kabisa hadi sasa hivi? Kuna Sweet Radhia....whatever...
 
hahaha then sweetie we shall share our normal bedroom, SL atalala chumba cha wageni....ameshasema atamtoroka mgonjwa lol



Kwanza nishaona twaelekea siko... Shock imenifanya
nisamehe yooooote na the normal routine inarudi Mpenzi.

Hapa sasa nijiandae kukuandalia Lunch....
 
Ni kweli yaani Kibweka huwa hayupo kujibu post au hata kuchangia
yeye anarusha na kusepa anawaacha mnajikaanga wenyewe
Kama ni mbaya au nzuri hilo ni juu yenu
Ila nice one na ni nzuri kujua uko wapi na unasimamia wapi

PA sijui kama anajua hilo na sijui kama anajua kuwa ipo siku atakamatika
Yaani yupo yupo tuu hana uhakika na mambo yake


Cheza na Kimbweka? lol


PA dawa ni kubadilisha jina.... Tufute hilo la The Finest to another one....
Yawezekana hata hicho chatisha mabinti... hahaha
 
Love u mean hana kabisa hadi sasa hivi? Kuna Sweet Radhia....whatever...




Sweetie washangaa? you do know is a young version of you eeh? Do something Love arudi kwenye msari, kila siku abadilisha mabinti tu... hajui yupi na nani amtaka... Dah!
 
Sweetie washangaa? you do know is a young version of you eeh? Do something Love arudi kwenye msari, kila siku abadilisha mabinti tu... hajui yupi na nani amtaka... Dah!

haha Love TF mi namjua AD tu ndo wake...sasa kama amekuwa sharobaro tena tunamrudisha kijijini 'akalime'
 
Yeah sound good
Na profile picture maana wakiiona ile picha wanajua huyu ni balaa hakamatiki
Aweke picha nyingine kabisa


Umeona eeeh? Nashangaa hata kwa nini hajaanzisha uzi wa kujisifia kua kaweza na anasonga mbele....lol
 
Kwanza nishaona twaelekea siko... Shock imenifanya
nisamehe yooooote na the normal routine inarudi Mpenzi.

Hapa sasa nijiandae kukuandalia Lunch....

Thats ma gal....am longing for a 'desert' as well...:tongue:
 
Back
Top Bottom