Inaonyesha kampuni ya Strategis imeshindwa kazi au ni wateja wamezidi,ukitaka kwenda kung'oa jino kwakutumia card yao ni lazima Doct anaye ku examine wa fax kwanza bill kwa strategis then wakisha approval ndo urudi tena hosp kwa kung'oa,inaweza kuchukua hata siku mbili na zaidi,sasa fikiria maumivu ya meno then unatakiwa kusubiri approval kutoka strategis.Na kuna baathi ya dawa doct akikuandikia unakuta kwenye sysyem yao hakuna,ni hivyo hivyo hata ukitaka miwani,Mbaya zaidi system yao ni mbovu kuliko ukipeleka kadi yako dirisha ili iwe registered utalia inachukua zaidi ya dakika 30 just kuingiza kwenye system.Kwa ufupi huduma yao ni mbovu sana.Sijuwi mnalionaje hilo wadau!