Ukiwa Chit Chat hakuna rangi utaacha kuona...hivi nikikuambia kuwa huyu Madame B katika maisha ya kawaida ni mke wangu wa ndoa, utaamini au utakataa??...mbona mie mwenye mke nipo kimyaaaa domo nimelitia plastaaa wakati madogoo kina Chilli, tedo Loya na yule Chimbuvu wanaruka samasoti hapa wakati wamevaa misuli...
Nipende wewe basi uridhike.
akupende vp sasa
Umbea huo.
loh mbea niwe mie...umesahau mie ndio niyekupeleka, sasa kitaiposha makaree wala usintafute
Kumbe swaga zote zile ulikuwa unamtaka?
Keruuu..
Bhana eee kila nikiingia chitchat nakutana na story za malovee sasa sijui kuna watu wanapigwa BAN kimajukwaa au??
Hizi stor zilitakiwa ziwepo jukwaa la MMU lakini zimejazana humu sasa nawaomba MODS wasaidie kuzimuvuzisha huko.
Alafu hivi kwanini ni story zinazomuhusu Madame B tu kwani wengine hawapendeki?? Pia akitoka huyo anafata sijui wanamwita Cacio naye nimeona siredi zake inamaana jukwaa la MMU Halipo.??
Mapendekezo;
-either jukwaa la MMU lifungwe!!
-either siredi zote za mapenzi zihamishiwe MMU
-AU watokee watu wengine wanaopendwa sio tuliowazoea tuu
-AU tuanzishe spesho sired kwa ajili ya wanaoexpres malovee yao hapa chitchat.
Nawasilisha.
Hahahahahahahahahahaha
pole sana ujui maana ya chit-chat! Mapenzi ndio habari ya mjini! Na yanachukua nafasi kubwa!
Daaah ungemjua Madame B au cacico wala usinge toa lawama kuhu kuwataja!
Weeee achaaaaaaa tuuuuuu
Daaaah watoto hawa we acha tuuu!