Story: Kwanini Upo Single?!

Kwa
Kwa sababu sijampata wa kuweza kuibadili hii status ya single kwenda double. Bado nangojea wakati wa BWANA.
 
Nilisoma shule za uboizini from primary mpaka advance!..
Mara ya kwanza kusoma Na garl nikiwa chuo kikuu!.
Lakin hisia zao Sina kabisa !.
Ninazo nguvu but garl sina
Kama hauna hisia na chiu utakuwa na hisia na nini tena kama sio dyudyu
 
Nipo single cause ubavu wangu/mke mwema mungu hajanipatia ninaowaona wote ni viwavijeshe kwa kupeperusha mali zangu kwa starehe zisizo na maana. Mwisho wa kunukuu
Doh pole sana
Labda ubadilishe direction ya mawimbi ya meli yako
Kama kaskazini hamna unachotaka nenda Magharibi au Kusini au Kaskazini
 
Me co muoga ila kla m2 ana aina ya maisha alyochagua. Kla m2 anaona njia yake n sahh ila mungu anaitazama mioyo. Hebu nkuulze ww n sababu ipi inakufanya uolewe / kuoa
Hii story sio ya ndoa ni ya kwanini upo singo
 
Kwa

Kwa sababu sijampata wa kuweza kuibadili hii status ya single kwenda double. Bado nangojea wakati wa BWANA.
Bwana unamngojea wa nini?!
Wakati keshakuruhusu uwowoe uijaze na kuongeza Dunia?!
 
Mrembo yeyote atakaejidhihirisha kuwa yupo single hapa hakika nitatangaza nia ya kuwa nae.

Mleta uzi nafikiri neno "single"siyo sahihi sana labda ungesema unmarried
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…