Story: Kwanini Upo Single?!

Story: Kwanini Upo Single?!

Doh me nadhani wewe utaishia kuwa kama Mtume Paulo wa kwenye Biblia

Sio kwa ubinafsi huu
Mpende Jirani yako kwanza ndio utapendwa vinginevyo sahau

Moyo Wang tulia kwa bwana hapo kuna aman yote
Hivyo vingine n ubatili mtupu
√√√√√√
 
Za Leo
Najua nimepotea sana ila nipo

Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!

Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!

Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc

Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single

Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!

Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii

Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..

Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!

Nilisoma shule za uboizini from primary mpaka advance!..
Mara ya kwanza kusoma Na garl nikiwa chuo kikuu!.
Lakin hisia zao Sina kabisa !.
Ninazo nguvu but garl sina
 
Nipo single cause ubavu wangu/mke mwema mungu hajanipatia ninaowaona wote ni viwavijeshe kwa kupeperusha mali zangu kwa starehe zisizo na maana. Mwisho wa kunukuu
 
Nipo single cause ubavu wangu/mke mwema mungu hajanipatia ninaowaona wote ni viwavijeshe kwa kupeperusha mali zangu kwa starehe zisizo na maana. Mwisho wa kunukuu
 
Acha uoga wewe wazazi wako wangekuwa selfish kama wewe usingezaliwa mjombaa

Jiachie uwowe
Me co muoga ila kla m2 ana aina ya maisha alyochagua. Kla m2 anaona njia yake n sahh ila mungu anaitazama mioyo. Hebu nkuulze ww n sababu ipi inakufanya uolewe / kuoa
 
Nilisoma shule za uboizini from primary mpaka advance!..
Mara ya kwanza kusoma Na garl nikiwa chuo kikuu!.
Lakin hisia zao Sina kabisa !.
Ninazo nguvu but garl sina
Kwahiyo mkuu una hisia na hao uliosoma nao from primary to advance?
 
Back
Top Bottom