nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Ati kwamba kulikuwa na dunia nyingine ambayo ilikuwa sambamba na dunia yetu hii,,,,
zamani hizo dunia yetu ilikuwa na wale mijusi wakubwa na sisi tulikuwa katika hiyo dunia nyingine
Pia namna ya usafiri kwa njia za anga ulikuwa ni kutumia aina ya ndege hai wakubwa kuvuka toka dunia hii mpaka dunia ile nyingine.
Aidha dunia ile nyingine ilikuwa inaonekana kwa macho haikuwa mbali sana.
Kwa hiyo sisi tulikuwa tunakuja huku duniani na kurudi ile dunia nyingine siku hiyo hiyo.
Mijusi ile mikubwa ndiyo tuliitumia kujengea piramidi.
Naendelea kumchukua maelezo nitamrudieni
zamani hizo dunia yetu ilikuwa na wale mijusi wakubwa na sisi tulikuwa katika hiyo dunia nyingine
Pia namna ya usafiri kwa njia za anga ulikuwa ni kutumia aina ya ndege hai wakubwa kuvuka toka dunia hii mpaka dunia ile nyingine.
Aidha dunia ile nyingine ilikuwa inaonekana kwa macho haikuwa mbali sana.
Kwa hiyo sisi tulikuwa tunakuja huku duniani na kurudi ile dunia nyingine siku hiyo hiyo.
Mijusi ile mikubwa ndiyo tuliitumia kujengea piramidi.
Naendelea kumchukua maelezo nitamrudieni