We ! Jamaa ana cheo kikubwa sana cha ubalozi,tena wa uviko19Nani kampa rungu huyu steve
Akili fupi, pesa fupi, mfupi ulisahau kutaja uume mfupi.Watu wafupi huwa nao wanasikilizwa?
Ogopa uwe mfupi, ukose akili, pesa nk
Ukiwa mfupi ub..oo utakuwaje mrefu?Akili fupi, pesa fupi, mfupi ulisahau kutaja uume mfupi.
Mgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
Amepewa ubalozi wa chanjo sasa naona ndio ameshaanza kutumikia wadhfa huo.Nani kampa rungu huyu steve
Hahahaaaa... !Amepewa ubalozi wa chanjo sasa naona ndio ameshaanza kutumikia wadhfa huo.
Huyo mende hajielewi japo msigwa naye mzigo tuMwamba kapewa usemaji wa chanjo
Kaona Sasa kawa mkubwa anaamua kuwa msemaji wa chama
Msigwa jiandae mda s mrefu atakuwa msemaj wa serikali
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu dogo ana cheo gani kule chamani, au ndiyo kakabidhiwa mikoba ya Slow Slow au kajipa rank ya Musiba the 7.5 billion Tsh man.Mgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
''Mwalimu alisema CCM sio mama yangu.''Mgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
Ujinga tu kuanzisha chama tangu lini ikawa ni kosaMgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
Tupe CV yake!Mpeni uteuzi haraka ili asiendelee kututapikia hapa.
-Ana ubini wa Nyerere.Tupe CV yake!