johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,893
- 141,827
Mgombea Ubunge wa CCM, Jimbo la Iringa mjini mwama 2020 Steven Mengele aka Nyerere amewaonya baadhi ya wanachama wa CCM waliojipanga kuanzisha chama kipya kuachana na mpango huo mara moja
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!
Nyerere amesema anaujua mpango mzima na kwamba muda ukifika atawaumbua mchana kweupe.
Mungu ni mwema wakati wote!