Steve Nyerere atoa povu asema bongo fleva imepotea kabisa

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Mar 29, 2015
347
587
7e6a5f07e330c0804f01e1f02e271b0b.jpg


7e344445afcbfc0fa525fb0bec032513.jpg
 
pamoja na kwamba wengi wanamnanga hapa lakini kuna ukweli,nguvu ya bongo fleva inashuka sijui watanzania wanachanganyikiwa na maisha ya magufuli au sijui ni nini? maana bongo movie,taarab,mziki wa dansi ishajifia,huku nako bongo fleva hakueleweki wakitoa nyimbo hakuna mtikisiko kabisa kama zamani
 
pamoja na kwamba wengi wanamnanga hapa lakini kuna ukweli,nguvu ya bongo fleva inashuka sijui watanzania wanachanganyikiwa na maisha ya magufuli au sijui ni nini? maana bongo movie,taarab,mziki wa dansi ishajifia,huku nako bongo fleva hakueleweki wakitoa nyimbo hakuna mtikisiko kabisa kama zamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom