GE2025 Stendi ya Tegeta Nyuki inafanyiwa ukarabati. Imenishitua sana nani anafanya hivyo au ndio wakati wa kutafuta kura 2025?

GE2025 Stendi ya Tegeta Nyuki inafanyiwa ukarabati. Imenishitua sana nani anafanya hivyo au ndio wakati wa kutafuta kura 2025?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Katika harakati zangu leo nilifika hadi stendi ya Tegeta Nyuki ni moja ya stendi kubwa sana lakini ni stendi ambayo imetelekezwa kwa muda sana bila kufanyiwa ujenzi hata kidogo.

Lakini leo nimekutana na ukarabati unaendelea pale. Sasa nikajiuliza mbona sasa hivi siku zote walikuwa wapi? au hizo hela ndizo zimepatikana sasa hivi? wakati tulikuwa tunapata shida mvua ikenyesha stendi inajaa maji madibwi kama yote.

Ila nilichokiona inawezekana kuna mtiania hapa anajitafutia kura kwa wakati na watumiaji wa stendi hiyo.

Lakini je ujenzi wake utaendelea au ni kuziba mashimo tu uchaguzi ukiisha matatizo yataendelea?

Wananchi tusidanganyike na wanasiasa walamba miguu kipindi hichi

 
Back
Top Bottom