zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,039
- 3,613
Mnachanganya stend mpya ya magufuli,na stend ya daladala Mbezi luisUpande wa vyoo mbezi nilivipenda, ila kwa pale kuna machawa sijui ndio wapenz wa jinsia moja, ukikosea tu utashambuliwa
Mnachanganya stend mpya ya magufuli,na stend ya daladala Mbezi luisUpande wa vyoo mbezi nilivipenda, ila kwa pale kuna machawa sijui ndio wapenz wa jinsia moja, ukikosea tu utashambuliwa
Mnachanganya stend mpya ya magufuli,na stend ya daladala Mbezi luisKuna ripoti moja alitoaga cag akisema stand ya mbezi mahali ilipojengwa haikustaili kujengwa,eneo ni finyu sana na gaharama zake za ujenzi ni kubwa sana.....hapa ni siasa ndio iliyochangiwa na awamu iliyopita