Stendi ya Hood Morogoro Hovyo

Stendi ya Hood Morogoro Hovyo

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,781
Hapa chini toilets za stendi ya Hood ya Morogoro kama nilivyokutana nazo leo.
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?
 

Attachments

  • 20140115_153735.jpg
    20140115_153735.jpg
    274.5 KB · Views: 319
  • 20140115_153715.jpg
    20140115_153715.jpg
    270.1 KB · Views: 274
  • 20140115_153703.jpg
    20140115_153703.jpg
    280.2 KB · Views: 224
  • 20140115_151843.jpg
    20140115_151843.jpg
    261 KB · Views: 229
Nadhani kampuni hii imeajiri mafundi, madereva na logisticians, lakini upande wa Housekeeping ni zero.

Hatari ya kubeba magonjwa kwa wale wanaotumia toilets za hapa ni kubwa sana, ukizingatia kwa siku anapitisha hapa abiria wasiopungua 400.
Manispaa ya Morogoro, mpitieni huyu mtu mkamsalimie.
 

Attachments

  • 20140115_155700.jpg
    20140115_155700.jpg
    445.5 KB · Views: 212
Vyoo hivyo ni hatari kwa afya ya mama na mtoto!
 
Manispaa yenyewe ipo mfukoni mwa mwenye kampuni, mabibi na mabwana afya wanakimbizana na mamalishe mitaani, kweli utumwa, ukoloni haujatoweka kabisa Tanzania
 
Nadhani kampuni hii imeajiri mafundi, madereva na logisticians, lakini upande wa Housekeeping ni zero.

Hatari ya kubeba magonjwa kwa wale wanaotumia toilets za hapa ni kubwa sana, ukizingatia kwa siku anapitisha hapa abiria wasiopungua 400.
Manispaa ya Morogoro, mpitieni huyu mtu mkamsalimie.

hivi vya kwenu mbona vinatisha hivi, mie nimepita hapo tar 26 na nilienda toilet, nadhani vya kike vina nafuu.
 
hivi vya kwenu mbona vinatisha hivi, mie nimepita hapo tar 26 na nilienda toilet, nadhani vya kike vina nafuu.

Nyamayao,
Vya kiume ni hatare tupu.
Kwa mtu sensitive ukiingia humo ndani haja inakata. Bora uzunguke nyuma ya jengo ujibanze hata kwenye mstimu.
 
Last edited by a moderator:
Nyamayao,
Vya kiume ni hatare tupu.
Kwa mtu sensitive ukiingia humo ndani haja inakata. Bora uzunguke nyuma ya jengo ujibanze hata kwenye mstimu.

hizo tiles na hilo limkopo sijui ndoo hapo oweii, na kuna watu wanatumia hivyo hivyo jamani, kha, halafu kigoforani kuna maofisi za maboss,wangekuwa wanatumia hizo toilets wangezirekebisha zamanai, wao wana zao humo juu hawana habari.
 
Hapa chini toilets za stendi ya Hood ya Morogoro kama nilivyokutana nazo leo.
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?

Mlipelekwa huko ili wale njiwa wakague kama wapo wenye sifa ya kutolewa kafara
 
Hapa chini toilets za stendi ya Hood ya Morogoro kama nilivyokutana nazo leo.
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?

Hawa watu ni wachafu sana, nashukuru mleta uzi umenikumbusha. Wananikera jinsi wanavyojali fedha bila afya za wateja wao, ni kweli hawana mpinzani katika njia ya Mbeya - Arusha lakini angalia hoteli wanazosimamisha mabasi yao kwa ajili ya chakula kwa abiria ni zile chafu sana za Waarabu mfano Liverpool na Aljazeera ambazo huuza viporo na mazingira yao ni machafu sana. HOOD jirekebisheni mnakera!!
 
Hata huduma za usafiri siku hizi hazipo vizuri kama zamani.
 
Hawa watu ni wachafu sana, nashukuru mleta uzi umenikumbusha. Wananikera jinsi wanavyojali fedha bila afya za wateja wao, ni kweli hawana mpinzani katika njia ya Mbeya - Arusha lakini angalia hoteli wanazosimamisha mabasi yao kwa ajili ya chakula kwa abiria ni zile chafu sana za Waarabu mfano Liverpool na Aljazeera ambazo huuza viporo na mazingira yao ni machafu sana. HOOD jirekebisheni mnakera!!

sijui ndio tulikula hapo, wahudumu wao wote full baibui, nilienda kwenye choma njaa ilikatika ghafla, hiyo nyama ukiiangalia tu hamu yote inaisha.
 
sijui ndio tulikula hapo, wahudumu wao wote full baibui, nilienda kwenye choma njaa ilikatika ghafla, hiyo nyama ukiiangalia tu hamu yote inaisha.
itakuwa ndio hapo huduma za ovyo kweli na mazingira machafu..
 
hizo tiles na hilo limkopo sijui ndoo hapo oweii, na kuna watu wanatumia hivyo hivyo jamani, kha, halafu kigoforani kuna maofisi za maboss,wangekuwa wanatumia hizo toilets wangezirekebisha zamanai, wao wana zao humo juu hawana habari.

Tiles kali sana hizi..mbona vyoo viko fresh sana hivi
 
Hawa watu ni wachafu sana, nashukuru mleta uzi umenikumbusha. Wananikera jinsi wanavyojali fedha bila afya za wateja wao, ni kweli hawana mpinzani katika njia ya Mbeya - Arusha lakini angalia hoteli wanazosimamisha mabasi yao kwa ajili ya chakula kwa abiria ni zile chafu sana za Waarabu mfano Liverpool na Aljazeera ambazo huuza viporo na mazingira yao ni machafu sana. HOOD jirekebisheni mnakera!!

Hawawezi kusimama kwenye hoteli za wakatoliki...wadini sana hawa..kwanza ukiomba kazi ukiwa na jina la john kazi umekosa
 
Manispaa yenyewe ipo mfukoni mwa mwenye kampuni, mabibi na mabwana afya wanakimbizana na mamalishe mitaani, kweli utumwa, ukoloni haujatoweka kabisa Tanzania
Broda hii ni point kali sana.
Nina mashaka kama kuna mwajiriwa yeyote wa Manispaa anaeweza kupiga hodi kwenye mageti yale na kuulizia mambo ya afya, nadhani ataambiwa akamwite bosi wake...ha ha ha
 
hizo tiles na hilo limkopo sijui ndoo hapo oweii, na kuna watu wanatumia hivyo hivyo jamani, kha, halafu kigoforani kuna maofisi za maboss,wangekuwa wanatumia hizo toilets wangezirekebisha zamanai, wao wana zao humo juu hawana habari.
Tunatofautiana maonjo japo wote tunasafiri kwa means moja.
Mwingine kwake anaona toilet la jinsi hyo kwake ni Ulaya.,ha ha haa!
Lakini watu wengi tu wanazama huko ndani na kutumia hiyo mikopo, si unajua matumbo yakikorofisha!
Unakaa na mtu kwny siti anagonga mayai ya kuchemsha na chips za jana, matumbo yakimpinduka unadhani ataangalia aina ya choo!
 
Last edited by a moderator:
Mlipelekwa huko ili wale njiwa wakague kama wapo wenye sifa ya kutolewa kafara
Dont tell me hiyo ndo kazi ya wale njiwa kwa maelfu waliofugwa pale ndani.
Hivi katika hali ya kawaida, njiwa wangapi wanatosha kwa kitoweo cha familia?
 
Hawa watu ni wachafu sana, nashukuru mleta uzi umenikumbusha. Wananikera jinsi wanavyojali fedha bila afya za wateja wao, ni kweli hawana mpinzani katika njia ya Mbeya - Arusha lakini angalia hoteli wanazosimamisha mabasi yao kwa ajili ya chakula kwa abiria ni zile chafu sana za Waarabu mfano Liverpool na Aljazeera ambazo huuza viporo na mazingira yao ni machafu sana. HOOD jirekebisheni mnakera!!
Ukweli sehemu wanazosimamisha mabasi kula hawa watu ni majanga tupu, na ajabu kbsa hawaendi na wakati. Kuna hoteli mpya kibao kati mombo na segera, lakini the guys are too local, wamekomalia hoteli za ujima, hata kama chakula ni bure na wanapewa kamisheni, thats over the top!
 
Dont tell me hiyo ndo kazi ya wale njiwa kwa maelfu waliofugwa pale ndani.
Hivi katika hali ya kawaida, njiwa wangapi wanatosha kwa kitoweo cha familia?

Binafsi huwa nashangaa. Bamoja na kwamba wanachafua mazingira, bado inaonyesha ni wamuhimu sana kwenye ustawi wa yule bwana!
 
Back
Top Bottom