PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,781
Hapa chini toilets za stendi ya Hood ya Morogoro kama nilivyokutana nazo leo.
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?