Stendi ya daladala ya Mwenge kuhamishiwa Makumbusho

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,591
1,599
Ama kweli ukistaajabu ya Firauni utaona ya Mussa,
Leo katika vyombo vya habari manispaa ya kinondoni wamesema eti wanahamisha kituo cha daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho. Cha kushangaza ni kuwa, ni hivi majuzi tu wametumia mamilioni ya walipa kodi kukarabati kituo hicho cha Mwenge, sasa inakuwaje wakihamishe ghafla kiasi hicho? Kama kulikuwa na mpango wa kukihamisha, kulikuwa na umuhimu gani wa kukikarabati? si wangekarabati hicho kituo cha Makumbusho tu kuliko kupoteza hela za walipa kodi kwa kitu ambacho kitaondolewa baada ya muda mfupi?
Hivi kweli huko maofisini tkuna vichwa au nazi? hakuna wanaofanya planning hata angalau ya miaka mitano tu?
Kwa hali hii, this country will remain poor if nothing is is done immediately!
 
Ama kweli ukistaajabu ya Firauni utaona ya Mussa,
Leo katika vyombo vya habari manispaa ya kinondoni wamesema eti wanahamisha kituo cha daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho. Cha kushangaza ni kuwa, ni hivi majuzi tu wametumia mamilioni ya walipa kodi kukarabati kituo hicho cha Mwenge, sasa inakuwaje wakihamishe ghafla kiasi hicho? Kama kulikuwa na mpango wa kukihamisha, kulikuwa na umuhimu gani wa kukikarabati? si wangekarabati hicho kituo cha Makumbusho tu kuliko kupoteza hela za walipa kodi kwa kitu ambacho kitaondolewa baada ya muda mfupi?
Hivi kweli huko maofisini tkuna vichwa au nazi? hakuna wanaofanya planning hata angalau ya miaka mitano tu?
Kwa hali hii, this country will remain poor if nothing is is done immediately!

mbona kama habari haijakamilika, wanahamisha kwa nini, naamini ni lazima watakuwa na sababu,hata kama ni ya kipuuzi kiasi gani lakini lazima watasema tunahamisha kituo kwa sababu a,b,c na hapo Mwenge wanataka kupafanya nini kupaacha paoze? Isije kuwa tu unatafuta sababu za kuthibitisha kile ambacho tayari umeshakijenga katika fikra zako kwamba hakuna jambo zuri linafanyika hapa nyumbani leta habari kamili labda kuna sababu ya maana!

 
hawajatoa sababu yoyote...wamesema wanakihamisha tu...labda wameona hapatoshi...
mbona kama habari haijakamilika, wanahamisha kwa nini, naamini ni lazima watakuwa na sababu,hata kama ni ya kipuuzi kiasi gani lakini lazima watasema tunahamisha kituo kwa sababu a,b,c na hapo Mwenge wanataka kupafanya nini kupaacha paoze? Isije kuwa tu unatafuta sababu za kuthibitisha kile ambacho tayari umeshakijenga katika fikra zako kwamba hakuna jambo zuri linafanyika hapa nyumbani leta habari kamili labda kuna sababu ya maana!

 
hawajatoa sababu yoyote...wamesema wanakihamisha tu...labda wameona hapatoshi...
Labda tu haujapata maelezo ya kutosha lakini jinsi serikali pamoja inavyofanya kazi pamoja na madhaifu yake yote nafikiri ni lazima wanatoa sababu zinaweza kuwa za kijinga au za maana lakini lazima waseme tunahamisha kituo kwa sababu kadhaa na pale Mwenge patakuwa kitu fulani!
Maadamu bado hawajasema ngoja tusubiri wakija kusema labda sababu kubwa kiasi kwamba inafanya hiyo gharama ya kujengea ionekana tone la maji baharini!
 
Mimi ninavyojua Huwa Stend za Mijini sio sehemu za Kwenda Kupumzika ila ni kupanda basi Kuelekea Majumbani baada ya shughuli za mchana Kutwa!! Sasa Kuhamisha kituo kutakuwa na faida gani kwa msafiri anayehitaji Kuwahi nyumbani / kazini kwake? Town trips Stendi ya nini Kubwa!! LAbda Change over Hub!! Ila kwa mwenge Wanahitajika Kuboresha Incoming na outgoing na kupunguza msongamano wa biashara that is a hub!!!!!
 
Ama kweli ukistaajabu ya Firauni utaona ya Mussa,
Leo katika vyombo vya habari manispaa ya kinondoni wamesema eti wanahamisha kituo cha daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho. Cha kushangaza ni kuwa, ni hivi majuzi tu wametumia mamilioni ya walipa kodi kukarabati kituo hicho cha Mwenge, sasa inakuwaje wakihamishe ghafla kiasi hicho? Kama kulikuwa na mpango wa kukihamisha, kulikuwa na umuhimu gani wa kukikarabati? si wangekarabati hicho kituo cha Makumbusho tu kuliko kupoteza hela za walipa kodi kwa kitu ambacho kitaondolewa baada ya muda mfupi?
Hivi kweli huko maofisini tkuna vichwa au nazi? hakuna wanaofanya planning hata angalau ya miaka mitano tu?
Kwa hali hii, this country will remain poor if nothing is is done immediately!

hujafafanua vizuri bali unarusha mawe, ngumi, mateke na vichwa kwa Manispaa yako!, ungetueleza vizuri kama mwenge hakutakuwa na kituo kabisa au ni mipango tu ya kuhakikisha magari yote yanapitia mwengi lakini final destination ni makumbusho, kama ni hivyo maanayake ni kuwa kituo cha mwenge kitaendelea kuwa kituo cha kati na si cha mwisho, fafanua, otherwise punguza madongo na dharau kwa mamlaka yako.
 
hujafafanua vizuri bali unarusha mawe, ngumi, mateke na vichwa kwa Manispaa yako!, ungetueleza vizuri kama mwenge hakutakuwa na kituo kabisa au ni mipango tu ya kuhakikisha magari yote yanapitia mwengi lakini final destination ni makumbusho, kama ni hivyo maanayake ni kuwa kituo cha mwenge kitaendelea kuwa kituo cha kati na si cha mwisho, fafanua, otherwise punguza madongo na dharau kwa mamlaka yako.
na wao hao manispaa wangesema mkakati mzima kuliko kusema tu kuwa kituo cha mwenge kinafungwa na kinahamishiwa makumbusho....
 
na wao hao manispaa wangesema mkakati mzima kuliko kusema tu kuwa kituo cha mwenge kinafungwa na kinahamishiwa makumbusho....

sinauhakika kama Manispaa wamesema tu kuwa kituo cha mwenge kinafungwa na kuhamishwa, nadhani kunamaelezo zaidi, nikiyapata haya ndipo nitapata uelewa zaidi juu ya ubora au udhaifu wa huu mpango. more comments reserved.
 
mwenge nacho ni kutuo (stendi) au SOKO?? Mbona sikuhizi limekuwa soko SOKO LA KILA KITU?
bora wahamishie tu makumbusho wawaache wamachinga wakiendelea na biashara zao maana hakuna hatua yoyote zinazochukuliwa kuwaondoa waliofanya soko pale, kwanza hawalipi ushuru!

yaan stend ya mwenge kilichobaki ni pale wanapotoza ushuru wa magari tuu, baaasi baada ya hapo hakuna la maana, stendi gani chafu inanuka, mabomba ya maji machafu yamepasuka kila sehemu.
 
mwenge nacho ni kutuo (stendi) au SOKO?? Mbona sikuhizi limekuwa soko SOKO LA KILA KITU?
bora wahamishie tu makumbusho wawaache wamachinga wakiendelea na biashara zao maana hakuna hatua yoyote zinazochukuliwa kuwaondoa waliofanya soko pale, kwanza hawalipi ushuru!
yaan stend ya mwenge kilichobaki ni pale wanapotoza ushuru wa magari tuu, baaasi baada ya hapo hakuna la maana, stendi gani chafu inanuka, mabomba ya maji machafu yamepasuka kila sehemu.
sasa kulikuwa kuna umuhimu gani kukikarabati kwa gharama kubwa wakati ule kama kitu chenyewe ni cha muda mfupi?
 
Wana tapatapa hawajui wanataka nini na wasafiri wanataka nini...acha wapeleke popote hata mabwepande wapeleke tu poa:sisi tupate usafiri na tufike tunakotaka kwenda bila bughudha na bila kero!
 
Hiyo miradi ndio sehemu za kupigia hela.
Si wanajua watanzania tumelala!?
Kama ni kweli basi nadhani waliopo ofisi ya mipango wanatakiwa watoe maelezo ya kutosha. Huu ni ufujaji!
 
Labda tu haujapata maelezo ya kutosha lakini jinsi serikali pamoja inavyofanya kazi pamoja na madhaifu yake yote nafikiri ni lazima wanatoa sababu zinaweza kuwa za kijinga au za maana lakini lazima waseme tunahamisha kituo kwa sababu kadhaa na pale Mwenge patakuwa kitu fulani!
Maadamu bado hawajasema ngoja tusubiri wakija kusema labda sababu kubwa kiasi kwamba

inafanya hiyo gharama ya kujengea ionekana tone la maji baharini!

hata wakiwa na sababu ya maana kuna barabara gani ya kuingilia makumbusho ili kiwe kituo? pia usisahau kuwa eneo walalotaka kuwa stend lipo kwenye makazi ya watu ambako barabara nyingi zilizopo ni za mitaaa na hazikubuniwa kama barabara za kupita daladala.
 
Kama kweli wanataka kufanya hivyo hicho ni kipimo tosha jinsi tulivyo na watu wasioweza kufikiri. Barabara kutoka Mwenge mpaka Morocco ina foleni ndefu sana bila hata haya madaladala yanayoishishia Mwenge.
 
hata wakiwa na sababu ya maana kuna barabara gani ya kuingilia makumbusho ili kiwe kituo? pia usisahau kuwa eneo walalotaka kuwa stend lipo kwenye makazi ya watu ambako barabara nyingi zilizopo ni za mitaaa na hazikubuniwa kama barabara za kupita daladala.

Hata wewe pia unauliza maswali kama mimi, sio mimi aliyeleta hii mada, hata mimi pia najiuliza maswali mengi inawezekana pia hata mada yenyewe ni uzushi na haina ukweli, kwa hiyo sio haki kuanza kuwahukumu watu (watendaji) bila ya kuwa na ukweli wa taarifa! kwa kifupi mimi sijui labda muulize aliyeleta habari!

 
Back
Top Bottom