Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Ama kweli ukistaajabu ya Firauni utaona ya Mussa,
Leo katika vyombo vya habari manispaa ya kinondoni wamesema eti wanahamisha kituo cha daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho. Cha kushangaza ni kuwa, ni hivi majuzi tu wametumia mamilioni ya walipa kodi kukarabati kituo hicho cha Mwenge, sasa inakuwaje wakihamishe ghafla kiasi hicho? Kama kulikuwa na mpango wa kukihamisha, kulikuwa na umuhimu gani wa kukikarabati? si wangekarabati hicho kituo cha Makumbusho tu kuliko kupoteza hela za walipa kodi kwa kitu ambacho kitaondolewa baada ya muda mfupi?
Hivi kweli huko maofisini tkuna vichwa au nazi? hakuna wanaofanya planning hata angalau ya miaka mitano tu?
Kwa hali hii, this country will remain poor if nothing is is done immediately!
Leo katika vyombo vya habari manispaa ya kinondoni wamesema eti wanahamisha kituo cha daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho. Cha kushangaza ni kuwa, ni hivi majuzi tu wametumia mamilioni ya walipa kodi kukarabati kituo hicho cha Mwenge, sasa inakuwaje wakihamishe ghafla kiasi hicho? Kama kulikuwa na mpango wa kukihamisha, kulikuwa na umuhimu gani wa kukikarabati? si wangekarabati hicho kituo cha Makumbusho tu kuliko kupoteza hela za walipa kodi kwa kitu ambacho kitaondolewa baada ya muda mfupi?
Hivi kweli huko maofisini tkuna vichwa au nazi? hakuna wanaofanya planning hata angalau ya miaka mitano tu?
Kwa hali hii, this country will remain poor if nothing is is done immediately!