johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Wahenga mtakumbuka kabla ya Ukarabati wa barabara ya Mwenge palikuwepo na Kituo cha Nyirenda ila ilipoanzishwa ITV kile Kituo cha Nyirenda Watu wakaanza kukiita ITV
Niombe tu kwa mamlaka husika kutokana na historia iliyotukuka ya huyu Nyirenda basi Kituo kipya cha Daladala pale Mwenge kiitwe Nyirenda
Ni Katika kuweka kumbukumbu tu kama ambavyo tuna Vituo vya Mzee Bamaga, Mama Zakaria, Mzee Komakoma, Mzee Manyunju, Mzee Manyanya, Mzee Mwinjuma, Mzee Kopa nk..nk
Ni hilo tu
Mlale Unono 😃😃
Niombe tu kwa mamlaka husika kutokana na historia iliyotukuka ya huyu Nyirenda basi Kituo kipya cha Daladala pale Mwenge kiitwe Nyirenda
Ni Katika kuweka kumbukumbu tu kama ambavyo tuna Vituo vya Mzee Bamaga, Mama Zakaria, Mzee Komakoma, Mzee Manyunju, Mzee Manyanya, Mzee Mwinjuma, Mzee Kopa nk..nk
Ni hilo tu
Mlale Unono 😃😃